Nilimaanisha hawezi mfanya chochote, itaishia kuwa kama amri za Majaliwa ambazo hazina makaliUnatazama umri wa mtu au cheo chake?
Hilo swali la ubora au usalama wa hizo chanjo waulizwe WHO
🤣🤣🤣 Mambo ya rohoni hutambulikana kwa jinsi ya rohoni, na ya mwilini vilevile.Serikali ina hoja za kimwili zenye uthibitisho wa kisayansi, Mch. Gwajima ana hoja za kiroho tena mbele ya waumini wake. Sasa hapo hapo mambo ya kidunia na ya kiroho yanapatana vipi!?
Sio size ya Gwajima huyu lakini huenda ni chambo ili wasiojulikana wakamilishe kaziHuyo Mollel ni bwana mdogo sana kwa Gwajima na hawezi kumfanya kitu
Mollel katupiga sound
Kwanza Molleli ilibidi atwambie inakuwaje leo hii anaipigania chanjo wakati muda wa nyuma alikuwa mstari wa mbele kuibeza.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mambo ya rohoni hutambulikana kwa jinsi ya rohoni,na ya mwilini vilevile.
Hapo Sasa pamenoga jamaa wameshindwa kumjibu hoja zake kisayansi wanavizia gap wamrushie zigo yeye.