#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

Huyo naibu waziri alishapoteza credibility ya kuongelea hili jambo mwaka tokea mwaka jana. Bora anyamaze au ajiuzulu.
 
Kwa hiyo mtamuita baada ya miaka kumi? nyie ndo mnatakiwa mtuthibitishie kwamba hakuna mtu atakufa kwa korona ndani ya miaka 2 hadi 10 baada ya kuchanja....
 
Nguvu kubwa kuliko Rais? Gwajima anajeuri sana kama anaipata wapi

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Rais ana nguvu;
1. Kisheria
2. Wanaomzunguka.

Hatari huja kwa wale wanaokuzunguka ambao ni nguvu yako wakigawanyika.
Gwajiboy sio taahira kama unavyofikiri, anajua nguvu ya rais, lakini anapata ujasiri huu kwasababu anauona mnyukano na mgawanyiko wa watu waliopaswa kuwa upande wa rais...hivi bado hamuoni kuwa SHH anaelea?
 
Rais ana nguvu;
1. Kisheria
2. Wanaomzunguka.

Hatari huja kwa wale wanaokuzunguka ambao ni nguvu yako wakigawanyika.
Gwajiboy sio taahira kama unavyofikiri, anajua nguvu ya rais, lakini anapata ujasiri huu kwasababu anauona mnyukano na mgawanyiko wa watu waliopaswa kuwa upande wa rais...hivi bado hamuoni kuwa SHH anaelea?
Ikulu imegawanyika?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Nyie Viongozi wa Hii Nchi mnatia aibu sana..Mtu kama wewe Mollel si ujibu hoja Za Gwajima?? SEMA wazi kitaalamu si unajiita Dr wewe.?? Jibu Kama Dr sio kusema Ooh ataitwa...Aitwe aje afanye nn??? Wewe ukiekua unakunywa Mitangawizi umegeuka saiv na Waziri wako wote nyie mlitakiwa kujiuzulu ni vigeu geu...
Tukuamini kwa lipi??? Je mnaaminika??? Nyie hasa ndio mnasababisha issue hii kuwa ngumu mana ndio mliosema mnaomba sana kama Mungu ni wenu hata Italy makao Makuu ya Papa hakuwaona akawaona nyie....Leo tena ooh Jameni Ugonjwa upo unaua tuchanje...Sawaaa

Tunakubali tuchanje Mjibu Gwaji Boy contents za Hiyo Chanjo..Jibu Pia Hoja zake zote vizuri sio bla bla....Msituone mafala sisi hapa kisa mna hizo nafasi za Umma..Hizo kazi Utatoka siku moja tena nyie Wizara hiyo mmetia aibu sana Kwa Unafiki...
 
Back
Top Bottom