Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Rashid Gwajima ni mrithi pekee wa Itikadi za Dikteta MagufuliVery sad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rashid Gwajima ni mrithi pekee wa Itikadi za Dikteta MagufuliVery sad
Kwahiyo arud alieiweza??Mama miezi michache tuu nchi imemshinda.
Mbona unamfagilia?Siyo Mollel tu maccm wote sina imani nao
Takataka MOLLEL.Naibu waziri wa afya mr Molleli amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.View attachment 1894702
Jumapili ijayo In shaa Allaah.Hapa ndipo lilipo tatizo. Hili sasa ndiyo tatizo la kuchanganya dini na siasa kwa maana yake haswa, siyo kama serikali ilivyokuwa inasingizia wakati viongozi wa dini walipokuwa wanaikosoa. Dawa ya hili ni ndogo sana. Viongozi wa dini walio-active kwenye dini zao i..e ambao ni viongozi kwenye madhehebu yao wasiruhusiwe kugombea nyadhifa za kisiasa au kama watagombea basi wajiuzulu uongozi wa dini. Hili kama lingekuwa sheria Gwajima alitakiwa ajiuzu ''uchungaji'' wake na awe muumini wa kawaida.
Mambo ya kiroho hayathibitishwi kisayansi. Mollel unapoteza muda Gwaji Rashidi atakupiga chenga na tobo hutaamini yaaniNaibu waziri wa afya mr Molleli amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.View attachment 1894702
atawashinda asubuhi saa moja kasoro.Naibu waziri wa afya mr Molleli amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.View attachment 1894702
Sukuma gang naona mpo kazini ili kuliimarisha kundi lenuMambo ya kiroho hayathibitishwi kisayansi. Mollel unapoteza muda Gwaji Rashidi atakupiga chenga na tobo hutaamini yaani
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mollel Ni serikali,kwa hiyo serikali Ni ndogo kuliko Gwajima?Huyo Mollel ni bwana mdogo sana kwa Gwajima na hawezi kumfanya kitu
Mollel katupiga sound
CCM huwa mnahasiwa akili? Kwani mtu kuripoti habari yake lazima uwe na imani naye?We Mcdm tokea lini una imani na Dk Mollel?
Kwamba chanjo Ina vitu vinawekwa Ni jambo la Kiroho?Serikali ina hoja za kimwili zenye uthibitisho wa kisayansi, Mch. Gwajima ana hoja za kiroho tena mbele ya waumini wake. Sasa hapo hapo mambo ya kidunia na ya kiroho yanapatana vipi!?
Serikali kuthibitisha Ni rahisi kuliko GwajimaHahaha!!!
Nao serikali wataulizwa swali dogo tu, wathibitishe kama katika huo muda tajwa na Gwajiboy, hizo chanjo hazina madhara...
Chanjo imefanikiwa kupambana kwa kiwango kikubwa sana na magonjwa hatari ambayo yalitishia kumfuta binadamu katika uso wa dunia kama vile ndui,surua,ebora na kadhalika.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuziita chanjo kuwa ni uchafu.Sayansi ya kuchanjana uchafu? Thubutu!
Alipokuwa anamla yule demu ROHO MTAKATIFU alimuweka wapi?atawashinda asubuhi saa moja kasoro.
GWAJIMA anaongea mafunuo ya ROHO MTAKATIFU kupitia YESU KRISTO na nyie mnayumie akili za kipagani za kusingiziana ma-kesi, NURU NA GIZA havikai pamoja.