#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

🤣🤣🤣 Mambo ya rohoni hutambulikana kwa jinsi ya rohoni,na ya mwilini vilevile.

Hapo Sasa pamenoga jamaa wameshindwa kumjibu hoja zake kisayansi wanavizia gap wamrushie zigo yeye.
Gwajima msanii ataeageuzia kibao. Kama wao wanaubavu wamvue uanachama na ubunge.
 
Serikali ina hoja za kimwili zenye uthibitisho wa kisayansi, Mch. Gwajima ana hoja za kiroho tena mbele ya waumini wake. Sasa hapo hapo mambo ya kidunia na ya kiroho yanapatana vipi!?
Anasema kaongea na marafiki zake madaktari wakubwa duniani. (hii siyo kiroho bali ni porojo). Anawaona waumini wake majuha sana.

Lakini aachwe ili aje aumbuke mwenyewe. Kumhoji kunamwongezea umaarufu.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Now i see why you eat feces only because it is written "made in France".

Sio kila habari ya google ni sahihi. Zingine ni manipulation za WHO and their counterparts!

MAKINIKA.
Wewe na kundi lako la sukuma gang tunawajua kwanini bado mnaendelea kuipinga hiyo chanjo
 
Nikikumbuka alivyo saliti nguvu za wapiga kura wake na kwenda ccm kuunga mkono ndiyo naishiwa nguvu kabisa.
Mollell ni phaller flani, tumesoma naye Minaki high school japo alinitangulia kidato kimoja, amesoma akiwa mzee na alikuwa hajui kiswahili vizuri, huyo ni boya hakuna mfano
 
Now i see why you eat feces only because it is written "made in France".

Sio kila habari ya google ni sahihi. Zingine ni manipulation za WHO and their counterparts!

MAKINIKA.
Ni kweli kabisa siyo kila habari ya google ni sahihi, lakini una wajibu wa kutafuta hizo ambazo ni sahihi.Kwani mimi nimekuambia kuwa kasome habari za google ambazo siyo sahihi?Wito wangu kwako ni kwamba kasome habari za google zile ambazo ni sahihi.
 
Mollell ni phaller flani, tumesoma naye Minaki high school japo alinitangulia kidato kimoja, amesoma akiwa mzee na alikuwa hajui kiswahili vizuri, huyo ni boya hakuna mfano
Tulisha mdharau kitambo kuanzia day one pale alipo amua kuunga mkono
 
Back
Top Bottom