sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Kumbe hukusoma nilichoweka juu mwanzoNi hivi Gwajima asijisahau akavuka Mstari.Akivuka Mstari mtamhurumia huyo Gwajima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hukusoma nilichoweka juu mwanzoNi hivi Gwajima asijisahau akavuka Mstari.Akivuka Mstari mtamhurumia huyo Gwajima
Unakijua cheo cha Gwajima wewe?🤣Unatazama umri wa mtu au cheo chake?
Hilo swali la ubora au usalama wa hizo chanjo waulizwe WHO
gwajbwai ninavyomjua hajawahi kuomba pooAcha ujinga, ya Askofu mkuu alokula maharagwe mbona aliomba puu
Afazali,angalao kajitutumua, Serikali ilikuwa kimya sana na huyu mpotoshaji na mjasiriadini.
Katika karne ya 21 ambayo ni perfect information era unauliza kuwa ukasome wapi kitu kidogo kama hicho?Nikasome wapi?
Kumbe huyu mchungaji ni mkubwa kiasi hikiSio wote wanaishi ikulu
Hata akili na ufahamu wanapishana mbali saaaana,mollel ni zero brainUnatazama umri wa mtu au cheo chake?
Hivi kuna mtu alikuwa anamgusa Bashite?
Gwajima msanii ataeageuzia kibao. Kama wao wanaubavu wamvue uanachama na ubunge.🤣🤣🤣 Mambo ya rohoni hutambulikana kwa jinsi ya rohoni,na ya mwilini vilevile.
Hapo Sasa pamenoga jamaa wameshindwa kumjibu hoja zake kisayansi wanavizia gap wamrushie zigo yeye.
Anasema kaongea na marafiki zake madaktari wakubwa duniani. (hii siyo kiroho bali ni porojo). Anawaona waumini wake majuha sana.Serikali ina hoja za kimwili zenye uthibitisho wa kisayansi, Mch. Gwajima ana hoja za kiroho tena mbele ya waumini wake. Sasa hapo hapo mambo ya kidunia na ya kiroho yanapatana vipi!?
Kwa mitazamo wa macho ya kiroho, ni YES.Kwamba chanjo Ina vitu vinawekwa Ni jambo la Kiroho?
[emoji3][emoji3][emoji3]Angalia hiki kisura, utafikiri sio chenyewe kilichokuwa kinapinga chanjo miezi 4 iliyopita shenzi taipu View attachment 1894704
Huyu mchungaji hagusuki, hajaanza leo kumbeHivi kuna mtu alikuwa anamgusa Bashite?
Gwajiboy alimfanya Bashite akalie madhabahuni.
Umesahau alivyomwandama JK?
Wewe na kundi lako la sukuma gang tunawajua kwanini bado mnaendelea kuipinga hiyo chanjoNow i see why you eat feces only because it is written "made in France".
Sio kila habari ya google ni sahihi. Zingine ni manipulation za WHO and their counterparts!
MAKINIKA.
Huyu hana tofauti na kibwetereAnasema kaongea na marafiki zake madaktari wakubwa duniani. (hii siyo kiroho bali ni porojo). Anawaona waumini wake majuha sana.
Lakini aachwe ili aje aumbuke mwenyewe. Kumhoji kunamwongezea umaarufu.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mollell ni phaller flani, tumesoma naye Minaki high school japo alinitangulia kidato kimoja, amesoma akiwa mzee na alikuwa hajui kiswahili vizuri, huyo ni boya hakuna mfanoNikikumbuka alivyo saliti nguvu za wapiga kura wake na kwenda ccm kuunga mkono ndiyo naishiwa nguvu kabisa.
Ni kweli kabisa siyo kila habari ya google ni sahihi, lakini una wajibu wa kutafuta hizo ambazo ni sahihi.Kwani mimi nimekuambia kuwa kasome habari za google ambazo siyo sahihi?Wito wangu kwako ni kwamba kasome habari za google zile ambazo ni sahihi.Now i see why you eat feces only because it is written "made in France".
Sio kila habari ya google ni sahihi. Zingine ni manipulation za WHO and their counterparts!
MAKINIKA.
Tulisha mdharau kitambo kuanzia day one pale alipo amua kuunga mkonoMollell ni phaller flani, tumesoma naye Minaki high school japo alinitangulia kidato kimoja, amesoma akiwa mzee na alikuwa hajui kiswahili vizuri, huyo ni boya hakuna mfano