Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hujui chochote wala lolote.Unaijua historia ya Ndui?Unaelewa kuwa Babu zetu walichanjwa chanjo ya Ndui?Hayo machanjo ni uchafu mtupu acha kujidanganya wewe!
Bibi na babu zetu wameishi miaka kwa miaka hawakudungwa hayo machanjo uchwara lakini walikuwa imara na madhubuti.
Wewe ukiugua kidogo tu unatega makalio unataka kudungwa michanjo ya ajabu ajabu.
MAKINIKA bwana mdogo!