#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

Gwajima hana lolote kwanini hakumuombea mwendazake mpaka akafa kwa corona?
alikuwepo mbishi kama Mama Rwakatere Askofu na mmiliki wa mashule kibao akafa kwa corona?
chungeni sana kina Vibwetere ndio wanarudi wataliangamiza Kanisa lake sasa hivi lkn sio Watanzania werevu

Hao ndio waloleta chanjo yenye sumaku, transmetter? Kwa ajili ya kufuatila watu. Gwajima kasema atampigia simu mwanamke Mtanzania ambaye ni raia wa Ujerumani kwa sasa zaidi ya miaka 20 kaolewa huko. Huyu alifanyiwa majaribio kuhusu kuwekewa chip mwilini kupitia chanjo ndio mambo ya msingi kuyajibu hayo.

Na hii kama ni kweli na tunao mawaziri pengine wamechanjwa maana yake carbinate meettings zitakuwa wired na walio na database za hii chanjo. Hii si hatari kwa taifa. Tunajitoaje hapo ndio jambo la msingi sio kupambana na Gwajima aliye wasaidia kulijua hilo.

Na kama ndio hivyo Mungu asaidie
tiba yake isije ikawa kukatwa kiungo kilichopandikizwa chanjo hiyo. Nakuhakikishia wako ambao watakuwa tayari na watakubali kukatwa kuliko kupoteza uwaziri. Tumeona walivyogeuza ndimi zao tokea wakati wa JPM mpaka sasa wakati wa SSH.
 
They are supposed to be "screened" for the state security reasons ( just the jokes, Ha ha haaaaaa!!)

We have not forgotten the Ugandan guitarist saga(to add salt on wound of the jokes! HA HA HA HA HA ha ha haaaa!)

 
Hilo swali la ubora au usalama wa hizo chanjo waulizwe WHO
Kwahiyo serikali haiwezi kueleza Ubora wa hizi chanjo kwa raia wake. Kwahiyo chochote ukipewa utakula tu, ukidhurika aulizwe aliyekupa
 
Kwahiyo serikali haiwezi kueleza Ubora wa hizi chanjo kwa raia wake. Kwahiyo chochote ukipewa utakula tu, ukidhurika aulizwe aliyekupa
Mnaopinga chanjo ni sukuma gang
 
Mnaopinga chanjo ni sukuma gang
Sukuma gang ni nani na Ni nini.

Kimsingi hakuna anayepinga chanjo, bali ni kushindwa kuthibitisha usalama wa chanjo. Mnajibu kisiasa badala ya kisayansi.

Ni kwann dunia nzima wanadoubt usalama wa hiyo covax
 
Sukuma gang ni nani na Ni nini.

Kimsingi hakuna anayepinga chanjo, bali ni kushindwa kuthibitisha usalama wa chanjo. Mnajibu kisiasa badala ya kisayansi.

Ni kwann dunia nzima wanadoubt usalama wa hiyo covax
Mbona ARV mnazibugia bila kuuliza ubora wake?
 
Kila
Mbona ARV mnazibugia bila kuuliza ubora wake?

Iko sababu kwa majira na nyakati hizi kuanza kwenda mbele na kuchunguza dawa za misaada za sasa ikiwemo hizo ARVs. Hii roho ya ujahili wa aina hii huko nyuma haikuwepo. Kama wameanza hivyo kwenye corona vaccine hawata shindwa kwa mengine. Na serikali makini yeyote haita kimbilia tena kuhomola kila msaada lazima iuendee kwa tahadhari zote. Chambo cha hii chanjo ni huo msaada wa 500B .
 
Kila

Iko sababu kwa majira na nyakati hizi kuanza kwenda mbele na kuchunguza dawa za misaada za sasa ikiwemo hizo ARVs. Hii roho ya ujahili wa aina hii huko nyuma haikuwepo. Kama wameanza hivyo kwenye corona vaccine hawata shindwa kwa mengine. Na serikali makini yeyote haita kimbilia tena kuhomola kila msaada lazima iuendee kwa tahadhari zote. Chambo cha hii chanjo ni huo msaada wa 500B .
Mshaambiwa kuwa chanjo ni hiari ndugu
 
Back
Top Bottom