Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Viongozi wa kibongo ni wanaongzwa na unafiki yani wala si utashi wa kielimuJamaa walikuwa wanalinda ugali, na hilo pia halijabadilika hata sasa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wa kibongo ni wanaongzwa na unafiki yani wala si utashi wa kielimuJamaa walikuwa wanalinda ugali, na hilo pia halijabadilika hata sasa...
Hakuna definite structure ya kiutawala! Taasisi ya uraisi imelala flani hiviRais ana nguvu;
1. Kisheria
2. Wanaomzunguka.
Hatari huja kwa wale wanaokuzunguka ambao ni nguvu yako wakigawanyika.
Gwajiboy sio taahira kama unavyofikiri, anajua nguvu ya rais, lakini anapata ujasiri huu kwasababu anauona mnyukano na mgawanyiko wa watu waliopaswa kuwa upande wa rais...hivi bado hamuoni kuwa SHH anaelea?
Nani mmasai?!!!Mkono wa Baunsa vs Mmasai.
Haya majinga yanawapotezea muda tu.Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.
View attachment 1894702
Serikali ya sasa ni mithili ya kibogoyoMollel Ni serikali,kwa hiyo serikali Ni ndogo kuliko Gwajima?
Hivi Mollel si Mmasai au Mmachame wa Hai?Nani mmasai?!!!
Roho mtakatifu alikuwa madhabauniAlipokuwa anamla yule demu ROHO MTAKATIFU alimuweka wapi?
Sasa kama kila mtu anaropoka lake kuna niniYaani haina magego?
Muarusha yule!Hivi Mollel si Mmasai au Mmachame wa Hai?
Hakuna aliyekubali ila mnapoteza muda wa maana sana kujadili wapuuziTunaabiwa kuwa watanzania walishakubali hiyo kodi ya kizareendo
ukileta mambo ya Dini ndio kabisa nakutoa kwenye mstari kama Gwajima, hapo mnaposhabikia wafuasi wa Roho mara Yesu hamfiki hata 20% ya watu bilioni 7.5Hao ndio waloleta chanjo yenye sumaku, transmetter? Kwa ajili ya kufuatila watu. Gwajima kasema atampigia simu mwanamke Mtanzania ambaye ni raia wa Ujerumani kwa sasa zaidi ya miaka 20 kaolewa huko. Huyu alifanyiwa majaribio kuhusu kuwekewa chip mwilini kupitia chanjo ndio mambo ya msingi kuyajibu hayo.
Na hii kama ni kweli na tunao mawaziri pengine wamechanjwa maana yake carbinate meettings zitakuwa wired na walio na database za hii chanjo. Hii si hatari kwa taifa. Tunajitoaje hapo ndio jambo la msingi sio kupambana na Gwajima aliye wasaidia kulijua hilo.
Na kama ndio hivyo Mungu asaidie
tiba yake isije ikawa kukatwa kiungo kilichopandikizwa chanjo hiyo. Nakuhakikishia wako ambao watakuwa tayari na watakubali kukatwa kuliko kupoteza uwaziri. Tumeona walivyogeuza ndimi zao tokea wakati wa JPM mpaka sasa wakati wa SSH.
Eeh utawala wa kambale mtoto ndevu mkubwa ndevu!Au kama familia ya kambale