#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

Rais ana nguvu;
1. Kisheria
2. Wanaomzunguka.

Hatari huja kwa wale wanaokuzunguka ambao ni nguvu yako wakigawanyika.
Gwajiboy sio taahira kama unavyofikiri, anajua nguvu ya rais, lakini anapata ujasiri huu kwasababu anauona mnyukano na mgawanyiko wa watu waliopaswa kuwa upande wa rais...hivi bado hamuoni kuwa SHH anaelea?
Hakuna definite structure ya kiutawala! Taasisi ya uraisi imelala flani hivi
 
Hao ndio waloleta chanjo yenye sumaku, transmetter? Kwa ajili ya kufuatila watu. Gwajima kasema atampigia simu mwanamke Mtanzania ambaye ni raia wa Ujerumani kwa sasa zaidi ya miaka 20 kaolewa huko. Huyu alifanyiwa majaribio kuhusu kuwekewa chip mwilini kupitia chanjo ndio mambo ya msingi kuyajibu hayo.

Na hii kama ni kweli na tunao mawaziri pengine wamechanjwa maana yake carbinate meettings zitakuwa wired na walio na database za hii chanjo. Hii si hatari kwa taifa. Tunajitoaje hapo ndio jambo la msingi sio kupambana na Gwajima aliye wasaidia kulijua hilo.

Na kama ndio hivyo Mungu asaidie
tiba yake isije ikawa kukatwa kiungo kilichopandikizwa chanjo hiyo. Nakuhakikishia wako ambao watakuwa tayari na watakubali kukatwa kuliko kupoteza uwaziri. Tumeona walivyogeuza ndimi zao tokea wakati wa JPM mpaka sasa wakati wa SSH.
ukileta mambo ya Dini ndio kabisa nakutoa kwenye mstari kama Gwajima, hapo mnaposhabikia wafuasi wa Roho mara Yesu hamfiki hata 20% ya watu bilioni 7.5
ila mnashabikia 666 wakati Magu na Rwegasira wameondoka, katika hiyo 20% ya watu waiopo duniani kuna madhehebu km sabato , Methodist na Maprotester hawaamini chanjo au kuongezewa damu
sasa J&J ya kimarekani, uje Astra zeneca, uje chanjo za Wuhan, wanawezaje kuwekeana code number zikafuatana?
kazi kwelikweli mm nimechanja na wamenipa Kadi kesho wanaibadili nitapewa ya electonic ili nitambulike
 
Back
Top Bottom