#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

Dr. Mollel mpaka hapo, tunaweza kusema kachokoza nyuki wakati wa mchana wa jua kali bila kuwa na kinga ya kujizuia wasimuume...

Amefikia mpaka hatua katika kauli zake kumwita Mch. Gwajima "mjinga pamoja na wajinga wenzie wengine". Hapa maana yake, katukana jamii yote ya Ufufuo na Uzima...

Sina shaka kuwa, ni kesho tu atapata majibu yake na waliomtuma toka kwa Mch. Gwajima maana alishasema, yeye huwa ukimbipu, basi anakupigia hapohapo bila kuchelewa...!!

Stay tuned...
Gwajima inabidi awe na busara kwenye kujibu mashambulizi.Mollel kamprovoke kidogo anajua kabisa kuwa Gwajima atatoa povu balaa.Gwajima anasogezwa kwenye kilengeo Bila kujua
 

Vidonge na hizo dawa si za majira na nyakati hizi. Huyu anahasira na JPM si tunajua defender za TRA zilitia timu kwake kipindi flani, ndiyo hiyo kiburi, kiburi. Mwambieni kumtegemea Mungu haijawahi kuwa kiburi. Anajua Biblia akasome nini Shedraki. Meshaki na Abedinego waimwambia Mfalme. JPM alikataa kusujudia hili sanamu linaloitwa corona. Mungu wa Mbinguni alimpa Utukufu naye JPM akamtukuza Mungu wa Mbinguni kupitia utumishi na kifo chake. Hawa ni wapiga debe wa shetani wanavuvia maandalizi ya bwana wao luciferi na chapa yake 666.
 
Gwajima inabidi awe na busara kwenye kujibu mashambulizi.Mollel kamprovoke kidogo anajua kabisa kuwa Gwajima atatoa povu balaa.Gwajima anasogezwa kwenye kilengeo Bila kujua
Hawatampata bali yeye (Mch. Gwajima) ndiye kawapata na wameingia kwenye kilengeo chake...

Najua nisemacho. Naamini nisemacho. Subiri utasikia na kuona kwa macho yako kitakachotokea....

Mungu Yehova hajawahi na wala hatakuja kushindwa na shetani hata siku moja...!!

This is a crash of two kingdoms i.e Yahweh The Almighty God's Kingdom represented by Rev. Bishop Dr. Josephat Gwajima and others...

And Satanic/devilish Kingdom represented by Dr. Mollel and those behind him...

God Yehova always wins. YOU CAN BELIEVE THAT..!!
 
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.

Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.

View attachment 1894702
Muwe mnaangalia picha za kuweka jamani.Kha! Mbona mimi nimeweka picha yangu safi tu hapo kwa profile?
 
Hi
Hivi huyo Mollel ndiyo nani?? Hivi mtu anayebadilisha kauli kulingana na mwelekeo wa awamu husika he is a serous liability to our country!! Anapaswa ajiuzulu kwa sababu hawezi kuyasimamia yale aliyokuwa anayapinga hadharani!! na sasa anajifanya anayaunga mkono!! Yeye na boss wake ni wasanii wa kufa mtu!
Watu wa aina ta Mollel wapo wengi sana serikalini ambao wamekubali kula matapishi yao kisa matumbo yao
 
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.

Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.

View attachment 1894702
Waweke bayana contents za Chanjo zote,ubaya wa social distancing,lockdowns na masking kitaalamu,hatutaki longo longo.Tayari wana sayansi wamesha weka bayana kila kitu kwa hiyo hawana pa kujificha.Hata athari za hizo chanjo wanasayansi independent wameshaziweka bayana,there is nothing to hide any more.

Halafu mtaidhinishaje chanjo kwa wananchi ya majaribio,ambayo long term effects zake hazi fahamiki?Huku si kuwafanya wananchi kuwa Guinea Pigs.Mbaya zaidi Nuremberg Code imekiukwa 100%!How much does it take kujua kwamba kilichofanyika kwa wananchi is wrong,immoral and inhumane?Ajabu sana.
 
Serikali inagoma nini kuchukua dhamana ya wale watakao chanjwa kama wana uhakika na chanjo hiyo?
 
Mollel anaongelea sayansi ipi aliyoifanyia utafiti? Gwajima atawachapa tu. Afterall, yeye huwa anaongea na waumini wake akiwaomba watumie ""hiari" ile ile ya kukataa chanjo

Sasa hivi ukitaka kupima COVID-19, lazima utoe angalau TZS. 230,000/= ila ukitaka Chanjo, unapewa free kabisa, tena kwa kubembelezwa
 
Ni mollel huyuhuyu aliyekua anapigia chapuo nyungu na bupiji
 
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.

Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.

View attachment 1894702
Serikali nayo ilete scientific data kwamba hiyo chanjo ni salama.
1.Itupe contents za hizo chanjo.
2 .Ituambie muda ambao hizo chanjo zimefanyiwa majaribio,na kama kweli huo muda unatosha kutumiwa na wanadamu.We want science here.
3.Watuambie kama kweli ni sahihi ku-subject Watanzania wote kwenye chanjo ya majaribio.
4.Watuambie kama athari za muda mrefu za hizo chanjo zinafahamika.Tunataka data,sio maneno.
5.Watupe taarifa za independent verifiers zinazo onyesha kwamba hizo chanjo kweli zinafaa kwa matumizi ya wanaadamu.Data za makampuni yaliyo tengeneza hizo chanjo hatuzitaki,you cannot be your own judge.
6.Watupe ushahidi wa kutosha unaonyesha kwamba Nuremberg Code imezingatiwa.
 
Mollel anaongelea sayansi ipi aliyoifanyia utafiti? Gwajima atawachapa tu. Afterall, yeye huwa anaongea na waumini wake akiwaomba watumie ""hiari" ile ile ya kukataa chanjo

Sasa hivi ukitaka kupima COVID-19, lazima utoe angalau TZS. 230,000/= ila ukitaka Chanjo, unapewa free kabisa, tena kwa kubembelezwa
Obviously kuna kitu hakipo sawa.Ni kama watu wanakuwa discouraged kupima hivi.

Tujuavyo ni kwamba hicho kipimo kinapima false positives,sasa nadhani kuna kitu kinataka kufichwa.
 
Serikali nayo ilete scientific data kwamba hiyo chanjo ni salama.
1.Itupe contents za hizo chanjo.
2 .Ituambie muda ambao hizo chanjo zimefanyiwa majaribio,na kama kweli zinafaa kutumiwa na wanadamu.
3.Watuambie kama kweli ni sahihi ku-subject Watanzania wote kwenye chanjo ya majaribio.
4.Watuambie kama athari za muda mrefu za hizo chanjo zinafahamika.
5.Watupe taarifa za independent verifiers zinazo onyesha kwamba hizo chanjo kweli zinafaa kwa matumizi ya wanaadamu.
6.Watupe ushahidi wa kuonyesha kwamba Nuremberg Code imezingatiwa.
Watu msijidai mna akili sana, hebi cheki duniani watu walivyochanja.
Tanzania record ni very low kutokana na ujinga!
 
Ndiyo hapo naskilizia,maana mheshimiwa gwajima amesema anamsubiria mama aingie mkenge amnolee mdomo!!nabii amesema atazama pale jumba jeupe kin'gori amkate makofi kama sabini na wale mabaunsa wa mama hawamwambii kitu,dont mess with gwajibway
Rashid Gwajima ni mkubwa hapa nchini kumzidi hata Samia Suluhu Hassan ndio maana hata akiropoka hakuna anayemsumbua.
 
Back
Top Bottom