Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Mshaambiwa kuwa chanjo ni hiari ndugu
Sawa ndg yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshaambiwa kuwa chanjo ni hiari ndugu
Hoja zake za kutoa You Tube ni za kipuuzi na zinajibika kirahisi, sema amekutana na Waziri wa Afya na akina Polepole ambao wote ni Wapuuzi walionunuliwa kama Mifugo.
Hamumuwezi Gwajima atawasumbua mpaka mchanganyikiweNaibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.
View attachment 1894702
Nimesikia dk anasema wataita wanasayansi waipime chanjo mbele ya waandishi wa habariHuyo Mollel ni bwana mdogo sana kwa Gwajima na hawezi kumfanya kitu
Mollel katupiga sound
Wacha yatafunane tuWashughulikiane tu! Hakuna namna.
Kuna watu Wana vyeo vikubwa kichwani hamna kituUnatazama umri wa mtu au cheo chake?
Mollel hata akili timamu hanaUnatazama umri wa mtu au cheo chake?
Sibishi mkuu juu ya hilo, kwa sababu ya ukweli mchungu inawapasa watu wa Mungu wadhalaurike, kwani hata Kristo mwenyewe aliitwa jina baya la Belzebhuri kwa sababu ya kusimamia haki na ukweli juu ya ufalme wa mbinguni. Inakupasa kuchora mstari ili kutenganisha maisha ya kimwili na yale ya kiroho.Gwajima hana lolote kwanini hakumuombea mwendazake mpaka akafa kwa corona?
alikuwepo mbishi kama Mama Rwakatere Askofu na mmiliki wa mashule kibao akafa kwa corona?
chungeni sana kina Vibwetere ndio wanarudi wataliangamiza Kanisa lake sasa hivi lkn sio Watanzania werevu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo Mollel ni bwana mdogo sana kwa Gwajima na hawezi kumfanya kitu
Mollel katupiga sound
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.
View attachment 1894702
Kuongoza nchi kubwa kama Tanganyika sio masihara ujueMama miezi michache tuu nchi imemshinda.