imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Asilimia kubwa ya Wasukuma wanasema huyo jamaa ni fala.Kwani wasukuma wanasemaje kuhusu wewe kuthibitisha usukuma wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia kubwa ya Wasukuma wanasema huyo jamaa ni fala.Kwani wasukuma wanasemaje kuhusu wewe kuthibitisha usukuma wako
Gwajima hana lolote kwanini hakumuombea mwendazake mpaka akafa kwa corona?
alikuwepo mbishi kama Mama Rwakatere Askofu na mmiliki wa mashule kibao akafa kwa corona?
chungeni sana kina Vibwetere ndio wanarudi wataliangamiza Kanisa lake sasa hivi lkn sio Watanzania werevu
Hoja zake za kutoa You Tube ni za kipuuzi na zinajibika kirahisi, sema amekutana na Waziri wa Afya na akina Polepole ambao wote ni Wapuuzi walionunuliwa kama Mifugo.kama anapotosha jibuni hoja zake
Kasoro kutawaliwa na upinzani..Ccm hakuna mahali waliwahi kufanikisha
Kwahiyo serikali haiwezi kueleza Ubora wa hizi chanjo kwa raia wake. Kwahiyo chochote ukipewa utakula tu, ukidhurika aulizwe aliyekupaHilo swali la ubora au usalama wa hizo chanjo waulizwe WHO
alishindwa kwa Kadinali Pengo, akaenda kuomba msamahanajua hata hili pia gwajibwai ataibuka mshindi
maana huyu jamaa hajawahi kushindwa vita vyovyote vile
Sukuma gang ni nani na Ni nini.Mnaopinga chanjo ni sukuma gang
Mbona ARV mnazibugia bila kuuliza ubora wake?Sukuma gang ni nani na Ni nini.
Kimsingi hakuna anayepinga chanjo, bali ni kushindwa kuthibitisha usalama wa chanjo. Mnajibu kisiasa badala ya kisayansi.
Ni kwann dunia nzima wanadoubt usalama wa hiyo covax
Hakuna namnaWashughulikiane tu! Hakuna namna.
Huwezi kuhalalisha kuiba gari kwa sababu uliiba pikipiki na hukukamatwaMbona ARV mnazibugia bila kuuliza ubora wake?
Acha hasira, Mollel alitibua mipango ya Chadema kumpiga Lissu risasi mbona haukumsapoti?wewe ni punguani. kuwa nyuma ya keyboard kusikufanye ujitoe akili
It's not the size of the dog in the fight ,it's the size of the fight in the dog that counts.Huyo Mollel ni bwana mdogo sana kwa Gwajima na hawezi kumfanya kitu
Mollel katupiga sound
Kwa akili yako ndogo, Mollel atamuweza Gwajima?Washughulikiane tu! Hakuna namna.
Mbona ARV mnazibugia bila kuuliza ubora wake?
Mshaambiwa kuwa chanjo ni hiari nduguKila
Iko sababu kwa majira na nyakati hizi kuanza kwenda mbele na kuchunguza dawa za misaada za sasa ikiwemo hizo ARVs. Hii roho ya ujahili wa aina hii huko nyuma haikuwepo. Kama wameanza hivyo kwenye corona vaccine hawata shindwa kwa mengine. Na serikali makini yeyote haita kimbilia tena kuhomola kila msaada lazima iuendee kwa tahadhari zote. Chambo cha hii chanjo ni huo msaada wa 500B .