Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
Hivi Kumbe tuna wabunge wajinga zaidi ya kibajaji na msukuma...!!?
 
Mungu atamlaani
Mshangae hatoi ushahidi mpaka elezwe ruzuku inaenda wapi. Wanakuwa kama malaya anasema sikupi shughuli mpaka uweke pesa mezani hivi akiitwa mahakamani atasema hawezi kutoa ushahidi mpaka wajue ruzuku unaenda wapi. Kweli kuna watu na viatu. Mwingine mara aseme ataweka mkeka,ni vurugu tupu. Kweli Lisu amewavuruga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshangae hatoi ushahidi mpaka elezwe ruzuku inaenda wapi. Wanakuwa kama malaya anasema sikupi shughuli mpaka uweke pesa mezani hivi akiitwa mahakamani atasema hawezi kutoa ushahidi mpaka wajue ruzuku unaenda wapi. Kweli kuna watu na viatu. Mwingine mara aseme ataweka mkeka,ni vurugu tupu. Kweli Lisu amewavuruga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni changudoa wa kisiasa
 
Abarikiwe mheshimiwa mollel kwa kuwaumbua hawa Chadema
Kama ni kweli isiishie kuwaambia awapeleke mahakamani maana ana evidence zote isiishie kuwaumbua maana hata serikali ilikwama yeye amewarahisishia kazi. Sisi tunasubiri kwasababu hii ni jinai haiwezi kuzungumzwa kumfurahisha mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kawaida mikutano tu wanawaweka ndani nashangaa mpaka sasa mbona hawajaenda kukamata viongozi wa Chadema? Wanasubiria nini na Mollie ndiyo key witness?
Tena yeye wanaume mkeka ambao tunasubiri. We bosi wake Ndugai bado lakini wake muhimu

Sent using Jamii Forums mobile app
wanaji contradict wenyewe
 
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
machadema wauaji wakubwa. R.I.P Chacha Wangwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa serikali hii y Magufuli, kama wanekuwa na ushahidi wa shambulio la Lissu wangeutoa siku hiyo hiyo na wahusika wangekamatwa.


Lakini cha ajabu wamebaki kusema leteni dereva ahojiwe.

Mara tunamfutia Lissu ubenge, mara mshahara unasitishwa, mara blaa blaa gani.....

Haya leteni huo ushahidi tena wa CCTV camera mlizozificha
Kwani waliotaka kumteka Boniface walikamatwa?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
you cannot close a serious case in a stupid manner like this
 
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
basi huyu sio mtu mzuri kabisa yaani wenzie wanhaha kila siku kujinasua kwenye macho ya wananchi ili kusafisha madoa yeye kakaa na ushahidi wakati kakaribishwa juzi tu.Hii roho mabaya saana balozi wa watu anahangaika kujibu maswali magumu hadi anapaniki wakati kuna mtu kakaa na ushahidi.Polisi wanashindwa ati pa kuanzia hadi wanamsubiri victim wakati uchunguzi hua unaanza immidiately tukio likiwa fresh na yeye anaushahidi.Basi watu kama hawa ni hatari kwa manufaa ya taifa na hapawswi kuaminiwa tena.kama vipi asukumwe ndani tu.
 
Aliyezumgumza hayo ni huyo ambaye picha yake imeambatanishwa hapo? Dah uko Siha M barikiwe sana
 
Kumbe chadema ni balaa mpk waliweza kuwaondoa maaskari pale getini wakaweza kuondoa na CCTV aisee,ni makomandoo hawa.

Ujinga mwingine kuujadili ni upuuzi wa daraja la kwanza tu,dokta sindano za ng'ombe zimeshamchanganya huyo.
mpaka leo nasubiri cctv za tukio la soweto
 
Hivi issue kubwa hapa ni NANI anahusika au kwanini WALIOHUSIKA hawajakamatwa ?

Wananchi wa kawaida hizi ngonjera za nani kafanya nini haziwasaidii bali cha kuwasaidia ni yoyote aliyehusika ashikwe na kujibu tuhuma...,Pia huyo mwenye ushahidi kwa kukaa nao bila kuutoa wazi nayeye ni wale wale tu..
 
Sasa mbona Jeshi la Polisi halijawakamata hao watu wa Chadema wanaotuhumiwa kutaka kumdhuru Lissu ili wahojiwe na kufikishwa mahakamani?
 
Stupid thread
From a certified idiot.
downloadfile-2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi issue kubwa hapa ni NANI anahusika au kwanini WALIOHUSIKA hawajakamatwa ?

Wananchi wa kawaida hizi ngonjera za nani kafanya nini haziwasaidii bali cha kuwasaidia ni yoyote aliyehusika ashikwe na kujibu tuhuma...,Pia huyo mwenye ushahidi kwa kukaa nao bila kuutoa wazi nayeye ni wale wale tu..
Ngonjera zinazofanyika ughaibuni huzioni?
 
He is retarded. CHADEMA ndio walioondoa walinzi na kamera? Si awape huo ushahidi wanaohangaika kujisafisha? Kweli kuwa ccm ni lazima uache kufikiri kabla hujaongea au kutenda.

Kwani uhalifu una dharura. Yawezekana
 
Back
Top Bottom