Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

polisi walipohitaji ushirikiano na taarifa alikuwa wapi ?
mwaka mzima tangu septemba 7 2017 alikuwa wapi ?
dunia nzima imeshaelewa magaidi ni nani ?
jiwe katika uhaba wake wa akili naona anatafuta aibu nyingine kuonesha yeye si gaidi..
Naona wamepanga kuedit audio na video kama kipindi kile kwa Wakatare.
MLISHINDWA KUTUZIBA MACHO MLIPOMTEKA MOO SALAH, MKALETA SMART PHONE PICTURES, kkkkk
CHADEMA WAPO MAKINI HATA KWENYE IT
Lema waliwahi kumueditia picture mbovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mollel hawezi kuaminika na kama alikubali kununuliwa atakubali kutumika kwa lolote lile ilimradi mkono uende kinywani! Mollel ni mtu mwoga sana lakini pia ni opportnist mzuri! CCM wanamtosa 2020!
 
Mollel hawezi kuaminika na kama alikubali kununuliwa atakubali kutumika kwa lolote lile ilimradi mkono uende kinywani! Mollel ni mtu mwoga sana lakini pia ni opportnist mzuri! CCM wanamtosa 2020!
 
Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
 
Alaa...! Kumbe na Molel ni kama alivyonunuliwa Nyalanduu na nduguye Lowasaa na Sumayee...basi kama mtindo ndio huo basi wacha mwenye kisu kikali ndie ale nyama..msilalamike..
 
Kwani yule anayezunguka huko ulaya hajui sehemu sahihi ya kutoa malalamiko yake?
Dr Mollel kasema kama watabisha waseme wanakopeleka ruzuku kisha atoe ushahidi wote wa tukio la Tundu Lissu ugumu uko wapi..?
Njia ya muongo si fupi tu. Waseme atoe huo ushahidi kisha ijulikane ni ushahidi aa uongo au kweli.,
Lakini kumbukeni wenye akili wanafahamu mikakati yenu ilivyokuwa na ilivyo sasa.! Hata wale vijana wenu walikuwa Nje ya Nchi watu wanafahamu. Hivyo msijifiche kwa viganja vya mikono mkiacha mwili mtupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa mambo ya ndani amesema "hakuna kesi" sabbu mlalamukaji hayupo ukipeleka mahakamani mlalamikaji anakuwa nani? Unapomtafuta mshitakiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…