Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
ishu haoa ni lisu ahojiwe na dreva wake Dk mollel amwage unga
Walikuwa wapi siku zote? Kama kweli ni wazalendo wakapeleke walichonacho huko polisi. Mbona ni rahis sana?hapo mollel kawakamata vibaya.alikuwepo mkipanga sasa yeye na mwita watamwaga kila kitu
wanaogopa nn na Dk molleli amewathibitishia kuwapa ushahidi wa chadema kuhusika
Huyo kapangwa kuyasema hayo ili watu tuamini, kwakuwa katoka chadema hivyo maneno yake ni kweli.Nadhani ni vema tukawa tunajadili kauli za watu ambao wana akili timamu.
Mole sidhani kama ni mzima. Mtu yeyote anayeweza kukubali kununuliwa lazima awe na upunguani wa aina fulani. Huyu definately ni punguani.
Hata serikali yenyewe inajua kuwa kauli hii imetoka kwa punguani ndiyo maana hakuna atakayeifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndo wa kukamata ili aisaidie polisi na uchunguzi uanze kwake.La sivyo atakuwa kategeshwa kuvuruga ziara za LissuAliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!
Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.
Chanzo: Mpekuzi
========
Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.
Nayo ni
1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia
Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.
Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.
Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.
Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?
Mabomu ya Arusha
Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekosoa au ametoa tuhuma ambazo anapaswa kukamatwa kwa uhalifu wa kuzishiriki?
HAIJAPATA KUTOKEA MTU WA CHAMA KILE APEWAPO NAFASI AKAMWAGA "PWENTI" SIJUI HUWA WANAROGWA!?Dr. Mzima unajivua udaktari wako na kuamua kumwaga pumba!! watoto wako wanakusikia, mkeo anakusia, ndugu wanakusikia, wasomi wenzako wanakusikia - aisee bora nife kapuku kuliko kutumikia tumbo.
We ni moja kati ya machoondi ya shamba ni mtu mjinga wa kiwango cha lami humu kuna wenye akili zao acha ujingalowasa ameinunua chadema nzima itakuwa mtu mmoja .kenge ww akili ya mollel ni akili ya chadema wote
Mimi siyo chadema,lakini hapo hakuna hoja ya kujibu. Ni upumbavu usiyotibikaKama mbunge anaweza kuongea kitu ambacho Hana uhakika??? Chadema ebu jibuni hoja hii
Huyo ni doctor wa makaratasi ila kiubinadamu hakuna daktari hapoDr. Mzima unajivua udaktari wako na kuamua kumwaga pumba!! watoto wako wanakusikia, mkeo anakusia, ndugu wanakusikia, wasomi wenzako wanakusikia - aisee bora nife kapuku kuliko kutumikia tumbo.
Ukishaona MTU YUKO SISIEMU JUA USHIRIKIANO UPSTAIRS NA MDOMO HUWA VIMESHAPOTEANA HATA KAMA NI PROFESA.