Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dr Mollel mbunge wa SIHA mi bado cjakuelewa ila upo karibu kunishawishi ukiniondolea dukuduku zifuatazo:-Umesema shambulio la LISSU ni mpango wa CHADEMA je:- 1:.Walinzi wa site 1,2 na 3 ni waajiriwa wa serikal ya chama gan,je CHADEMA wana mamlaka ya kuwazuia na kuwatoa eneo la kazi? 2:.Je serikal imechukua hatua gan kwa hao walinz ambao walishndwa kutmiza wajibu wao? 3:.Je CCTV camera zmefungwa upya baada ya kuonekana zilitolewa na kushndwa kuchukua picha ya shambulio la LISSU,kuna taratbu zozote znafanyka kujua nan altoa hzo camera? 4:.Hawa CHADEMA waliofanya shambulio hilo kwa kuwa wanafahamika,nn knasubiriwa kuwachukulia hatua? 5:.Je ww km mbunge, mmoja wa mihimir mikubwa ya serikal umeishaur nn serikal juu ya hil tukio la kidharimu mbal la kutoa hoja zako mtandaoni? "KM HAKUNA KILICHOFANYIKA KAT YANILOUZA HAPO JUU,HUONI LISSU ANAENDELEA KUPATA NGUVU NA KUAMINIKA ZAIDI KWA KILE ANACHOKIEZA HUKO DIASPORA" "BINAFC LISSU KWA HOJA ZAKE NAMWOGOPA SANA" "C WAKUJIBIWA NA KLA ANAEJICKIA KUJBU"
 
Nadhani ni vema tukawa tunajadili kauli za watu ambao wana akili timamu.

Mole sidhani kama ni mzima. Mtu yeyote anayeweza kukubali kununuliwa lazima awe na upunguani wa aina fulani. Huyu definately ni punguani.

Hata serikali yenyewe inajua kuwa kauli hii imetoka kwa punguani ndiyo maana hakuna atakayeifanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kapangwa kuyasema hayo ili watu tuamini, kwakuwa katoka chadema hivyo maneno yake ni kweli.
Ktk sakata la Lisu waliohama chadema wataongea sana. NENO LA MUNGU LI HAI. ANAAMBIWA KAINI, DAMU YA NDG YAKO INANILILIA TOKA ARDHINI.hawa wataweweseka sana mwisho wa siku wataanza kutajana bila wao kujua wafanyacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Chanzo: Mpekuzi

========

Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndo wa kukamata ili aisaidie polisi na uchunguzi uanze kwake.La sivyo atakuwa kategeshwa kuvuruga ziara za Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na maelezo aliyotoa mbunge wa jimbo la Siha Bwana Molleli, amesema anao ushahidi wa jinsi gani viongozi wa CHADEMA walipanga njama za kumshambulia kwa risasi 30 Lissu.
Hata hivyo mbunge Molleli amesema hatotoa ushahidi mpaka pale viongozi wa chadema watapomueleza fedha za ruzuku zinakwenda wapi na mpango waliotaka kuufanya kwa Zitto na marehemu Chacha Wangwe walipotaka kugombea uenyekiti wa chadema..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr. Mzima unajivua udaktari wako na kuamua kumwaga pumba!! watoto wako wanakusikia, mkeo anakusia, ndugu wanakusikia, wasomi wenzako wanakusikia - aisee bora nife kapuku kuliko kutumikia tumbo.
 
Dr. Mzima unajivua udaktari wako na kuamua kumwaga pumba!! watoto wako wanakusikia, mkeo anakusia, ndugu wanakusikia, wasomi wenzako wanakusikia - aisee bora nife kapuku kuliko kutumikia tumbo.
HAIJAPATA KUTOKEA MTU WA CHAMA KILE APEWAPO NAFASI AKAMWAGA "PWENTI" SIJUI HUWA WANAROGWA!?
 
Dr. Mzima unajivua udaktari wako na kuamua kumwaga pumba!! watoto wako wanakusikia, mkeo anakusia, ndugu wanakusikia, wasomi wenzako wanakusikia - aisee bora nife kapuku kuliko kutumikia tumbo.
Huyo ni doctor wa makaratasi ila kiubinadamu hakuna daktari hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom