Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Msome vizuri utamuelewaAaaah, kwani Etwege ana amini Mh Tundu alipigwa risasi na CDM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msome vizuri utamuelewaAaaah, kwani Etwege ana amini Mh Tundu alipigwa risasi na CDM?
Mtoa mada, subiri Tundu Lissu arudi pamoja na dereva wake ili watowe ushirikiano kwa vyombo vya dola, kisha ndipo utajua kwamba, mpango wa kushambuliwa Tundu Lissu ulipangwa ndani ya chadema au hapana.
Aidha katika ushirikiano huo pia utajua kwa nini Tundu Lissu alipigwa risasi mguu wa kulia alikokuwa dereva wake na si mguu wa kushoto ilikodaiwa washambuliaji walikuwa. Pia utajua kwa nini Dereva wa Tundu Lissu alishuka kwenye gari na kwenda kujificha ndipo boss wake akashambuliwa.
Na kama washambuliaji walitoka nje ya chadema, kwa nini walisubiri dereva ashuke? Je, washambuliaji hao walikuwa na makubaliano yoyote ya kutomdhuru dereva isipokuwa Tundu Lissu pekee?
Na mwisho utajua, kwa nini risasi zilizodaiwa kumpiga Tundu Lissu zilitoka 54 tulizoelezwa awali, na sasa tunaambiwa ni 19 tu? Sambamba na yote hayo utajua kwa nini mara baada ya shambulio, chadema haikutaka kumtoa dereva kusaidia vyombo vya uchunguzi kwa kisingizio cha kuathirika kisaikolojia. Je, saikolojia inatibiwa Kenya na baada ya Kenya alipewa rufaa ya kutibiwa Ubelgiji?
Akili za kuambiwa, changanya na za kwako.
Upumbavu wa kurithi utaujua tuu, kuiondoa ni ngumu kama nguo iliyo ingia grisiMtoa mada, subiri Tundu Lissu arudi pamoja na dereva wake ili watowe ushirikiano kwa vyombo vya dola, kisha ndipo utajua kwamba, mpango wa kushambuliwa Tundu Lissu ulipangwa ndani ya chadema au hapana.
Aidha katika ushirikiano huo pia utajua kwa nini Tundu Lissu alipigwa risasi mguu wa kulia alikokuwa dereva wake na si mguu wa kushoto ilikodaiwa washambuliaji walikuwa. Pia utajua kwa nini Dereva wa Tundu Lissu alishuka kwenye gari na kwenda kujificha ndipo boss wake akashambuliwa.
Na kama washambuliaji walitoka nje ya chadema, kwa nini walisubiri dereva ashuke? Je, washambuliaji hao walikuwa na makubaliano yoyote ya kutomdhuru dereva isipokuwa Tundu Lissu pekee?
Na mwisho utajua, kwa nini risasi zilizodaiwa kumpiga Tundu Lissu zilitoka 54 tulizoelezwa awali, na sasa tunaambiwa ni 19 tu? Sambamba na yote hayo utajua kwa nini mara baada ya shambulio, chadema haikutaka kumtoa dereva kusaidia vyombo vya uchunguzi kwa kisingizio cha kuathirika kisaikolojia. Je, saikolojia inatibiwa Kenya na baada ya Kenya alipewa rufaa ya kutibiwa Ubelgiji?
Akili za kuambiwa, changanya na za kwako.
Hivi issue nyeti kama hii ambayo inalichafu taifa unahitaji CDM wabishe ndiyo atoe ushahidi! Hawa wabunge wasipimwe kilevi pekee bungeni wapimwe na akili!Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!
Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.
Chanzo: Mpekuzi
========
Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.
Nayo ni
1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia
Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.
Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.
Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.
Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?
Mabomu ya Arusha
Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio hayo tuu, Bali wapimwe mpaka marinda usijekuta wametatuliwa. Shen%#zy taipuHivi issue nyeti kama hii ambayo inalichafu taifa unahitaji CDM wabishe ndiyo atoe ushahidi! Hawa wabunge wasipimwe kilevi pekee bungeni wapimwe na akili!
malizia mkuu kuliko kuzaliwa na uchafu kichwani,anafikiri kwa kutumia sehemu za hajaMtahangaika sana ....
Kwahyo wakang'oa na cctv camera?
Wakawatoa na walinzi siku hyo...
*bora uzaliwe na akili*
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwe!!!!Sana
Na pia wakamchongea kwa spika asipate matibabu pamoja na kufukuzwa ubunge.Mtahangaika sana ....
Kwahyo wakang'oa na cctv camera?
Wakawatoa na walinzi siku hyo...
*bora uzaliwe na akili*
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiazi moleli mmasai pekee so riziki duniani! Tell us who reported this nasty incidence and what has been the resolution through the official instruments of law? Did you report anything you bastard nicompoop?Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!
Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.
Chanzo: Mpekuzi
========
Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.
Nayo ni
1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia
Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.
Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.
Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.
Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?
Mabomu ya Arusha
Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!
Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.
Chanzo: Mpekuzi
========
Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.
Nayo ni
1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia
Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.
Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.
Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.
Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?
Mabomu ya Arusha
Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako wapo milembe wewe unatafuta Nini humu jamii forumsMbunge wa hovyo ni Lisu aliyekimbia jimbo lake na kwenda kuwa shoga Ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes and CHADEMA removed all the security officers (both private and public) from the heavily guarded premises !!! Can any creature bearing a skull trust this idiot? You can not waive away the responsibility of Presidential Security Unity involvement so sorry!!Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!
Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.
Chanzo: Mpekuzi
========
Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.
Nayo ni
1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia
Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.
Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.
Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.
Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?
Mabomu ya Arusha
Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mollel ni malaya tu na ana bei kama wale wadada wa Corner Bar pale Afrika SanaNadhani ni vema tukawa tunajadili kauli za watu ambao wana akili timamu.
Mole sidhani kama ni mzima. Mtu yeyote anayeweza kukubali kununuliwa lazima awe na upunguani wa aina fulani. Huyu definately ni punguani.
Hata serikali yenyewe inajua kuwa kauli hii imetoka kwa punguani ndiyo maana hakuna atakayeifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi waanze uchunguzi wao na huyu Mollel. Kazi kwako IGP Siro!Nadhani ni vema tukawa tunajadili kauli za watu ambao wana akili timamu.
Mole sidhani kama ni mzima. Mtu yeyote anayeweza kukubali kununuliwa lazima awe na upunguani wa aina fulani. Huyu definately ni punguani.
Hata serikali yenyewe inajua kuwa kauli hii imetoka kwa punguani ndiyo maana hakuna atakayeifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni Dk wa nini? Mbona uwezo wake wa kutambua ni finyu sana. Hivi huko bungeni mtu huyu anatoa upuuzi huu na anapewa the costly airtime ya bunge kwa gharama ya walipakodi? Sisi wananchi bila kujali nani alihusika na jaribio la kumuua Lisu tunataka apatikane akabili mashitaka. Kama serikali yenye mandate ya kuchunguza na kukamata imekaa kimya basi lawama zinaiangukia sawia.Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!
Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.
Chanzo: Mpekuzi
========
Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.
Nayo ni
1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia
Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.
Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.
Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.
Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?
Mabomu ya Arusha
Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
Sent using Jamii Forums mobile app