Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Huyu si mwingine bali ni Dk Godwin Mollel ni mtu pekee ambae alionyesha ushujaa wa hali ya juu kwa kusema ukweli juu ya watu waliompiga risasi mwanasheria nguli, Tundu Lissu.

Ni Daktari wa binadamu na ameshawahi kuwa mtumishinwa serikali kama kwa muda mrefu, na akaamua kujiunga na Chadema. Baada ya kuona ni chama kisichofaa baada ya kupanga njama za kumpiga risasi Lissu aliamua kurudi Ccm.

Dk Mollel alifichua njama zote zilizopangwa na Chadema ili kumuua Lissu sababu Lissu alionekana kupata umaarufu kwa muda mfupi. Pia Dk Mollel alidai Chadema wana kikundi cha magaidi ambacho huwa kinatumika kufanya ghasia na ugaidi. Mfano ni lile bomu walilolipua kwenye mkutano wa kampeni mjini Arusha ambapo watu walikufa na kujeruhiwa.

Ni Daktari mbobezi hivyo anaenda kufanya kazi kama alivyotumwa na mkuu wake. Ila wazalendo wanampongeza kwa kusema ukweli juu ya wasiojulikana ambao ni Chadema.

Acha siasa za kihanithi we dogo. Usitake tukuchafulie humu ndani uone ni jehenamu.
 
Ishu kama hii uifanyie porojo? Na alisema yupo tayari kuhojiwa!
Ahojiwe na nani??

Ama ahojiwe na waliomtuma?

Hii si hoja kwamba chama chake ndiyo waliompiga Lisu risasi.

Waliofanya hivyo wanajulikana na serikali na vyombo vyake vya dola ndiyo sababu hawajishughulishi hata kufanya uchunguzi.

Hata hivyo jambo hili litakuwa wazi baada ya utawala wa awamu hii ya 5.

Kuna mtu najua tu ni lazima atapelekwa mahakamani kwa kesi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha siasa za kihanithi we dogo. Usitake tukuchafulie humu ndani uone ni jehenamu.
hasira za nini sasa, Member katuhabarisha kuwa Mollel kaukwaa unaibu wa Wizara ya Afya wewe unamtukana mleta mada hatukuelewi au mpaka Mh F Ndugulile akuelezeea aliyokutana nayo?

Faustine Ndugulile

Nimepokea uamuzi wa Mhe Rais kwa unyenyekevu mkubwa. Ninamshukuru sana JPM kwa kunipa fursa ya kuhudumu katika Serikali yake. Nawashukuru sana
@umwalimu
na watendaji wote kwa ushirikiano walionipatia. Mafanikio ya sekta ni makubwa sana. Namtakia kila la kheri NW ajaye Dkt Mollel.
Ndugu yangu zitto junior tusubiri uapisho huko Ikulu ya Chato hivi leo
 
Back
Top Bottom