hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu kama hii uifanyie porojo? Na alisema yupo tayari kuhojiwa!muwe mnatumia hata akili basi. vyombo vya usalama kutokuchukua hatua yoyote haikupi signs kwamba alikuwa anapiga porojo?
Huyu si mwingine bali ni Dk Godwin Mollel ni mtu pekee ambae alionyesha ushujaa wa hali ya juu kwa kusema ukweli juu ya watu waliompiga risasi mwanasheria nguli, Tundu Lissu.
Ni Daktari wa binadamu na ameshawahi kuwa mtumishinwa serikali kama kwa muda mrefu, na akaamua kujiunga na Chadema. Baada ya kuona ni chama kisichofaa baada ya kupanga njama za kumpiga risasi Lissu aliamua kurudi Ccm.
Dk Mollel alifichua njama zote zilizopangwa na Chadema ili kumuua Lissu sababu Lissu alionekana kupata umaarufu kwa muda mfupi. Pia Dk Mollel alidai Chadema wana kikundi cha magaidi ambacho huwa kinatumika kufanya ghasia na ugaidi. Mfano ni lile bomu walilolipua kwenye mkutano wa kampeni mjini Arusha ambapo watu walikufa na kujeruhiwa.
Ni Daktari mbobezi hivyo anaenda kufanya kazi kama alivyotumwa na mkuu wake. Ila wazalendo wanampongeza kwa kusema ukweli juu ya wasiojulikana ambao ni Chadema.
(X) ?Kuna mahali (x) pakubwa pia panapwaya sana, nahisi tunaweza kupata interim baada ya bunge kuvunjwa kuelekea uchaguzi wa October.
Unaleta mikwara?Acha siasa za kihanithi we dogo. Usitake tukuchafulie humu ndani uone ni jehenamu.
Unaleta mikwara?
Mh Godwin Mollel humsikii anachosema? Matusi hayasaidii kamanda.Nasema hivi, acha siasa za kisengerema ww shoga mjane.
Wana wivu tu, Lissu alitaka awe maarufu kwa kila kitu.
Yaani wewe!!! Acha tu niishie hapo.Sasa Kwanini watu wa chama walitaka kumuua kamanda lissu ?
Ahojiwe na nani??Ishu kama hii uifanyie porojo? Na alisema yupo tayari kuhojiwa!
hasira za nini sasa, Member katuhabarisha kuwa Mollel kaukwaa unaibu wa Wizara ya Afya wewe unamtukana mleta mada hatukuelewi au mpaka Mh F Ndugulile akuelezeea aliyokutana nayo?Acha siasa za kihanithi we dogo. Usitake tukuchafulie humu ndani uone ni jehenamu.

Ndugu yangu zitto junior tusubiri uapisho huko Ikulu ya Chato hivi leo
M.D alafu awe zuzu? Ukweli unauma bwashee.Kule siha wanamjua kama mbunge zuzu
Mods toeni uchafu huu
Huyu Ndio alifuchua waliomshambulia kamanda wetu wa Ubeligiji ?
Ndio maana dereva harudi
Hivi ID yako ile ya zamani umeitosa kabisa?
Sent from my iPhone using JamiiForums