Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Hizi takataka zote mwisho wao 2020, labda goli la mkono liwaokoe
 
akawaripoti kwa Siro wakamatwe upesi!!

#mollelkimeo
Hapa sasa wananchi tuelewe nini kwamba ushaidi hupo au watu wanatumia kings ya bunge vibaya. Kwa nini anasemea bungeni badala ya kupeeka
Acha aanike uozo wa chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu ni kwa nini anasemea bungeni badala ya kupeleka polisi? Huku ni kutumia kinga ya bunge vibaya kwa kuwa anajua polisi haweeezi kuhoji chochote kilichotokea bungeni
 
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel (CCM) Adai Mpango wa Tundu Lissu Kupigwa Risasi Uliratibiwa na CHADEMA Wenyewe. | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zake zahesabika itabidi ampishe mwenye Jimbo lake Aggrey Deaslie Joshua Mwanri... Mzee wa SOMA hiiiiyo
 
Husiolijua ni kama usiku wa giza. Kwani hufahamu moja ya walipchangia kumsafirisha Lisu kutoka Dodoma ni Mbunge wa CCM? Je naye alihusika katika maandalizi yake?
Unapotoa hoja jaribu kutumia sehemu ndogo sana ya ubongo kufikiri kabla ya kutoa. Kuna matukio mengi sana yalifuatana baada ya jaribio ya kuuwawa kwake kushindikana ambapo ukifikiri sana hupatimajibu yaliyokuwa wazi, mojawapo la tukio ambalo ni la mwishomwisho kabisa ni la Mheshimiwa Spika kutokujua kama bado TAL yupo matibabuni
Sasa spika atajuaje kama fulani anamwa kama hana taarifa rasmi?? Yeye kiongozi wa bunge na sio kiongozi ya wanaotumiwa na mabeberu kutowesha amani ya nchi yetu..kuna utaratibu wa kumjulisha spika na inabidi ufatwe..hebu tumia makalio yako kidogo kufikiri..hivi leo spika akisema.fulan anaumwa wakati watu wanamuona ana danga huko kwa wazungu je wananchi waramuelewa spika??
 
Watu wengine haifai hata kuandika elimu zao inatia kichefuchefu!
 
Ndiyo hao chadema waliowaondoa hadi walinzi Kwani nao wanaripoti kwa chadema, na cctv nazo waling’oa hao chadema pia. Na wale waliokuwa wanakataza asiombewe walikuwa hao hao chadema. Na waliokataa kufanya upelelezi na kufunga file ni hao hao chadema. Ni kweli hayo mazingira yanaonesha kabisa kuwa chadema walipanga kumuua, wakalazimisha apelekwe Nairobi badala ya muhimbili ili akafie huko.
 
Hapa sasa wananchi tuelewe nini kwamba ushaidi hupo au watu wanatumia kings ya bunge vibaya. Kwa nini anasemea bungeni badala ya kupeeka
Swali langu ni kwa nini anasemea bungeni badala ya kupeleka polisi? Huku ni kutumia kinga ya bunge vibaya kwa kuwa anajua polisi haweeezi kuhoji chochote kilichotokea bungeni
Ulishajiuliza kwa nini dereva wa Lisu anajieleza kwenye redio badala ya kupeleka hayo maelezo polisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ni vema tukawa tunajadili kauli za watu ambao wana akili timamu.

Mole sidhani kama ni mzima. Mtu yeyote anayeweza kukubali kununuliwa lazima awe na upunguani wa aina fulani. Huyu definately ni punguani.

Hata serikali yenyewe inajua kuwa kauli hii imetoka kwa punguani ndiyo maana hakuna atakayeifanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nizaidi ya maiti
 
Kwa vile watanganyika mmefikia patamu kwa kupigana risasi wenyewe kwa wenyewe ,nitafurahi zaidi mkiangamizana kabisa,maana uhai wa mtu kwenu si kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel (CCM) Adai Mpango wa Tundu Lissu Kupigwa Risasi Uliratibiwa na CHADEMA Wenyewe. | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuwa Lissu ni mbunge wa jamhuri ya muungano wa watanzania, na kilichofanyika dhidi yake ni uhalifu, nashauri polisi ianze na Dr Mollel kwa sababu anao ushahidi wakutosha kuwabaini waliofanya uhalifu dhidi ya Lissu. Ni jambo lakushangaza sana kuona mtu ana ushahidi wa tukio zito kama hili halafu polisi haija muhoji. Na mbaya zaidi ni pale bunge nalo linaponyamazia tuhuma nzito namna hii bila ya mbunge husika kutakiwa na kiti kufuta ama kuthibitisha kauli yake.
 
Back
Top Bottom