Dkt. Mollel: Hakuna mtanzania anayeupinga Mkataba wa Bandari isipokuwa "Muhuni" mmoja tu wa CHADEMA na tutashughulika naye!

Huwa namuangalia sana sura yake huyu Dr Mollel ......sure za mataahira zile kabisa ....angalia shule yake fail zaidi mara 10 .......pia jana mjadala mzima alikuwa amesinzia mazima sishangaiiiii uwezo wake so mdogo ila hana lolote kichwani .....
 
CCM kwa ujumla kile chama hakina akili unakuwa bumbuwazi kabisa yaani, sijui huwa wanafikiria nn yaan hata kweli kwa macho hawaoni kabisa kwamba tunapigwa apa, raisi mzanzibar na waziri anayetia saini ni mzanzibar hakuna mbara pale alafu bado wanashadadia ujinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…