Dkt. Mollel: Hakuna mtanzania anayeupinga Mkataba wa Bandari isipokuwa "Muhuni" mmoja tu wa CHADEMA na tutashughulika naye!

Dkt. Mollel: Hakuna mtanzania anayeupinga Mkataba wa Bandari isipokuwa "Muhuni" mmoja tu wa CHADEMA na tutashughulika naye!

Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
BADala ya kujikita kujadili Mkataba Dongo ni Kwa Mbowe. Yaani maoni ya Mbowe ndiyo yamewakisanya Wote Kwa Posho ya Laki 3 hawana hata Shukrani.
 
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
Haya majangili yote yamekabwa
 
Hao wenye PhD mbona sasa wanajichanganya, Kitila kasema hakuna mkataba hapo kuna makubaliano ya ushirikiano baina ya serikali ya dubai na Tanzania.

Halafu wengine kama Mollel wanasema kuwa hakuna mtanzania anayepinga mkataba wa bandari na Dp sasa ukweli ni upi au na hao wenye PhD hawaelewi wanachojadili?
Haya ni majangili tupu
 
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
Dkt Molel yuko sawa ameteleza tu hapo alipitukana wenzake basi.
 
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!

Aisee inatia hasira na huyu eti alichaguliwa na wananchi. Utter nosense
 
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
Kwani huyu ni Dokta wa nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
Usomi wa Mollel sanaa tu., ni wale wanaoangalia masirahi tu. Wanajiona hata Nchi ikiuzwa watahamia Ulaya na familia zao, ila hawatakosa kwenye koo zao tutakaotaabika nao.
 
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
Msaliti ktk Ubora wake
 
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
Huyo mwehu Mollel, ni miongoni mwa wabunge majuha. Mpuuzeni.

Hao watanzania wanaounga mkono huo mkataba wa kishenzi, ni Watanzania gani?

Kama yeye ameingiwa na uwendawazimu hadi kushabikia mkataba wa kipuuzi, asidhani watanzania wote wamerukwa akili kama yeye.
 
Back
Top Bottom