Dkt. Mollel: Hakuna mtanzania anayeupinga Mkataba wa Bandari isipokuwa "Muhuni" mmoja tu wa CHADEMA na tutashughulika naye!

Dkt. Mollel: Hakuna mtanzania anayeupinga Mkataba wa Bandari isipokuwa "Muhuni" mmoja tu wa CHADEMA na tutashughulika naye!

Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dr Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na mh Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
Ama kweli Nyani haoni kundule huyu Molel hana shukrani kabisa, huyo anayemwita muhuni ndiye aliyemwokota mtaani na kumfikisha hapo alipo aache dharau 2025 sio mbali.
 
Sometimes unafeel like why US??Yaani unakuwa na waziri mwenye İQ ndogo kama Mollell then u wish nchi itasonga mbele kimaendeleo.....leo ilikuwa ni platform kubwa saaana kwa wabungu kulisemea TAİFA.....rather than MAJİMBO ya uchaguzi....ilikuwa ni time kujenga hoja zaidi na kuonesha why walichaguliwa kuwakilisha wananchi...unlike that wamebase kufanya personal attacks.....nchi bado ina safari ndefu saaana.😴

Dr. Alijizima Data maana anajua anacho kifanya.....

Spin doctor

Personal attack 😊😊🤓😂
 
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dr Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na mh Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
Hata Boss wake hamuiti Mbowe mhuni. Haka kajamaa kana matatizo makubwa.

Amandla...
 
Wezi, vibaka, waporaji, wanyang'anyi na majambazi wamejifunza na kufundishwa na Chama cha mapinduzi CCM kukemea hawawezi kwa kuwa ndiye mlezi wa haya yote.
 
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani

Dr Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo

Maelezo hayo yamepuuzwa na mh Aida wa Chadema

Nawatakia Sabato Njema!
Sasa MKATABA uliopelekwa bingeni unaitwa Mbowe au maana naona mopasho tu
 
Nape Nnauye tupitishe mkataba huu kwa kishindo ili kutuma Ujumbe" sasa nape kwa akili yako fupi" unadhani una mkomoa Mbowe au Ukoo na kizazi chako?
Anakomoaje ukoo wake wakati yeye ni Mbunge, pia waziri huku mdogo wake ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri?
 
Anakomoaji ukoo wake wakati yeye ni Mbunge, pia waziri huku mdogo wake ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri?
Bado. Ukoo wake upo. Ni mpana. Tuko nao kitaa. Tuta soma nao namba. Mchele tuna nunua nao duka 1.
 
Ukikacheki upara na nywele unaweza kudhani ni kawangaji au kachawi na ule ufupi, na nikama kandezi fulani hivi yaani watu wa siha sijui wanakachukuliaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nape Nnauye tupitishe mkataba huu kwa kishindo ili kutuma Ujumbe" sasa nape kwa akili yako fupi" unadhani una mkomoa Mbowe au Ukoo na kizazi chako?
Hata ana akili sasa?? Ndo maana anababuka uso, mxxiiiieeew zake.
 
Hii inadhihirisha kuwa hata wabunge wenyewe hawaelewi wanajadili nini.

Mara wanasema hakuna mkataba bali makubaliano baina ya serikali ya dubai na Tanzania, mara wengine wanasema hakuna anayepinga mkataba wa bandari.

Hata hawa wabunge inaelekea hawaelewi wanachojadili ila mihemko tu au wanaelewa ila kwa sababu wanadanganya at some point wanajisahau
Ndivyo ilivyokuwa. Hawakuwa wanajua chochote.
 
Back
Top Bottom