Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ni mganga ndiyo ila wa kienyejiHuyu ni Dokta kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mganga ndiyo ila wa kienyejiHuyu ni Dokta kweli?
kama dokta anashindwa kujibu hoja za mtu bali anamshambulia kwa maneno yasiyo na staha kuna dokta hapo?Hapa daktari anataka kuyapiga mawazo rungu.
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dr Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na mh Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Hapana ,ukiwa kama msomi na upo JF ,tuwe na tabia ya kulengaNdio maan nikakwambia vyovyote itavyoitwa iwe PhD iwe MD au whatever lkn mbele ya CCM hayo magamba ni takataka!!
Ni daktari wa kinywa.Huyu ni Dokta kweli?
Hahahaha..koronaaaaa!!!Huyu anaumwa Epodemia.View attachment 2652590
"The main difference between BRAVES and FOOLS is that, "Braves" speaks when they have something to say, but "Fools" speaks because they have to say something".Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dr Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na mh Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Alisikika yule mmojawapo wa Wezi wa kura akisema,"Nimekosa mimi,nimekosa mimi,Nimekosa sana " mara akajiuzulu cheo kumbe alikuwa anajua kinachokuja mbeleni,tumpongeze kwa hilo.Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dr Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na mh Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Hana phd ni Dr wa mifugo huyo 😂Kweli nimeamin PhD ni kama ndom mbele ya CCM!!
Ndio maana akili yake imefanana na mifugo eeh??Hana phd ni Dr wa mifugo huyo 😂
Kwa hiyo haijulikani kama huu ni mkataba (contract) au makubaliano (agreement/memorandum of understanding)!!!Hii inadhihirisha kuwa hata wabunge wenyewe hawaelewi wanajadili nini. Mara wanasema hakuna mkataba bali makubaliano baina ya serikali ya dubai na Tanzania, mara wengine wanasema hakuna anayepinga mkataba wa bandari... Hata hawa wabunge inaelekea hawaelewi wanachojadili ila mihemko tu au wanaelewa ila kwa sababu wanadanganya at some point wanajisahau
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dr Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na mh Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Hata wabunge wenyewe hawaelewi ila wakapitisha michamgo yao inadhihirisha hiloKwa hiyo haijulikani kama huu ni mkataba (contract) au makubaliano (agreement/memorandum of understanding)!!!
Cc LusungoMbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dr Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na mh Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Yeah but ni shahada hiyo ambayo mbele ya CCM haina maan!!Hana phd ni Dr wa mifugo huyo 😂
Halafu tunambeza chifu mangungo kwa akili hizi, bora yeye hakuwahi kwenda shule.Hata wabunge wenyewe hawaelewi ila wakapitisha michamgo yao inadhihirisha hilo