Dkt. Mollel: Watanzania wengi ni wajinga sana, wanaomshauri Rais hawana uelewa wa kutosha

Dkt. Mollel: Watanzania wengi ni wajinga sana, wanaomshauri Rais hawana uelewa wa kutosha

It's true, wananchi wengi ni wajinga.

Kwa kulitambua hilo ndio maana baba wa taifa aliasisi vita dhidi ya ujinga, umasikini na maradhi.

Wananchi wengi ni wajinga, masikini na wanaosumbuliwa na maradhi mbalimbali. Vita hii bado haijaisha.
 
Back
Top Bottom