ukawa dona
JF-Expert Member
- Feb 8, 2023
- 516
- 887
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Huyu mjinga dk uchwara ndo alijenga Banda la kujifukiza muhimbili Ambalo mara ya mwisho walimuingiza umo Magufuli na hakupona corona
Sisi yetu macho tu na masikio. Midomo tunawaachia wenyewe.Duh
=====
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264
NachekeleaUnacheka nini?
Ujinga wenu?Nachekelea
Una masaa tu wewe.Duh
=====
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264
WanaCCM mnavituko sana.Sisi yetu macho tu na masikio. Midomo tunawaachia wenyewe.
Washauri wa Rais ni kina nani kama siyo ninyi Mawaziri na kamati kuu ya CCM!Duh
=====
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264
Atoe ujinga wake yeye ndio alitoa ushauri wa kijinga akasababisha Magu atunushiane misuli na bwana covid 19 kilichotokea ulimwengu mzima unajua.Duh
=====
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264
Kama tu kuandika ndio hivi! Hoja ya Dkt Mollel iko sawaHuyu mjinga dk uchwara ndo alijenga Banda la kujifukiza muhimbili Ambalo mara ya mwisho walimuingiza umo Magufuli na hakupona corona
Upo sahihi, huyo ni dk uchwaraAtoe ujinga wake yeye ndio alitoa ushauri wa kijinga akasababisha Magu atunushiane misuli na bwana covid 19 kilichotokea ulimwengu mzima unajua.
Huyo alitakiwa awe ndani kwa kesi ya uhaini.
KichekoUnacheka nini?
...yeye ni mmoja wa hao washauri wa Rais......Duh
=====
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264
Huu uoga wenu wakutoa maon eti utatumbuliwaHuyu atakaa bench mapema.
Wewe kila mada ni magufuli?!,, tuepushie basi ujinga wako, au jpm alishakushikisha ukuta akakudhurumu?Huyu mjinga dk uchwara ndo alijenga Banda la kujifukiza muhimbili Ambalo mara ya mwisho walimuingiza umo Magufuli na hakupona corona