Kabende Msakila JF-Expert Member Joined Oct 7, 2020 Posts 1,809 Reaction score 1,692 Dec 4, 2020 #61 Uzalendo Installer said: Lile gari la 460 milion Click to expand... Lipi mkuu
Kabende Msakila JF-Expert Member Joined Oct 7, 2020 Posts 1,809 Reaction score 1,692 Dec 4, 2020 #62 idawa said: Serikali yote ni ya CCM hao wezi wanatoka wapi? Click to expand... Hata kwenye Serikali ya Yesu wezi na wasaliti walikuwemo - zakayo mtoza ushuru na yuda ni vielelezo vya mfano. Siku zote Serikali hupambana kupunguza tatizo fulani kwa kuwa haiwezi kumaliza dhambi nchini - sasa hao wanaotajwa na Mpango wajiandae
idawa said: Serikali yote ni ya CCM hao wezi wanatoka wapi? Click to expand... Hata kwenye Serikali ya Yesu wezi na wasaliti walikuwemo - zakayo mtoza ushuru na yuda ni vielelezo vya mfano. Siku zote Serikali hupambana kupunguza tatizo fulani kwa kuwa haiwezi kumaliza dhambi nchini - sasa hao wanaotajwa na Mpango wajiandae
BJB FC JF-Expert Member Joined Aug 25, 2015 Posts 2,064 Reaction score 2,312 Dec 10, 2020 #63 [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Eti Waziri Anajifanya Anashangaa!!!!