JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango amesema manung’uniko hayo ya Wananchi yanaonesha changamoto nyingi zilizopo kuanzia ukamataji wa wahusika kujua hata haki zao pamoja na ucheleweshaji wa upelelezi.
Amesema “Nitoe mfano kuna kijana alikamatwa mwezi mmoja na nusu uliopita #Mwanza, wazazi wake wakamtafuta sana hawakumpata hata walipoomba msaada Polisi ikawa kimya, wakanitafuta, nikawasiliana na Polisi Mwanza, wiki iliyopita baba mzazi wa kijana akasema wamempata kijana wao licha ya kuwa walishatangaza msiba.”
Amesema “Nitoe mfano kuna kijana alikamatwa mwezi mmoja na nusu uliopita #Mwanza, wazazi wake wakamtafuta sana hawakumpata hata walipoomba msaada Polisi ikawa kimya, wakanitafuta, nikawasiliana na Polisi Mwanza, wiki iliyopita baba mzazi wa kijana akasema wamempata kijana wao licha ya kuwa walishatangaza msiba.”