Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Sas Ile hotel Ina maajabu Gani ..Moja kati ya miradi mibovu ya hotel.Mwanza nzima hakuna Hoteli kali kama Dodoma City Hotel [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sas Ile hotel Ina maajabu Gani ..Moja kati ya miradi mibovu ya hotel.Mwanza nzima hakuna Hoteli kali kama Dodoma City Hotel [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Maajabu yake ni 5 Star Hotel,Mwanza nzima hakuna 😁😁Sas Ile hotel Ina maajabu Gani ..Moja kati ya miradi mibovu ya hotel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Logic si ndio hiyo Nimekupa , unataka logic gani? Mwanza nzima hakuna 5 star hotel ndio logic hiyo.Ebu acha usije haribu Uzi wa watu ....we kama huna logic na point kwenye mada hapo juu stay quiet
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Stendi zimejengwa kuleta Faida???Stendi nyingi hazitakuja rudisha gharama zilizojengewa..
Stendi ya Mbezi pekee ndo itarudisha pesa mapema kabla ya wakati
5star ...unazijua five star au unazisikia tu ...Ile inatarajiwa kuwa 3 star .. dodoma nzima ndo hotel ya kwanza kuwa na nyota 3 na ndoo maana haina return Kwa sababu dodoma haina uwezo wa kuafford hotel high class...angalia morena hotel ilivyochakaa sa hv .. kaangalie dodoma hotel ilivyoMaajabu yake ni 5 Star Hotel,Mwanza nzima hakuna [emoji16][emoji16]
Ndio nazijua mojawapo ni Dodoma City Hotel,Mwanza hakuna5star ...unazijua five star au unazisikia tu ...Ile inatarajiwa kuwa 3 star .. dodoma nzima ndo hotel ya kwanza kuwa na nyota 3 na ndoo maana haina return Kwa sababu dodoma haina uwezo wa kuafford hotel high class...angalia morena hotel ilivyochakaa sa hv .. kaangalie dodoma hotel ilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28]huna content sa hv. Unaokoteleza okoteleza ,,,hii inaonyesha how poorly exposed you're....Ndio nazijua mojawapo ni Dodoma City Hotel,Mwanza hakuna
Hawa wasomi wa aina hii ndio wanaokataa kila kitu mpaka dharura itokee, ili wajipatie sifa.Kwa hiyo unaona miaka 5 iliyopita haitoshi?
Yuko Rujewa huyu bingwaAcha kudanganya watu wew .. dodoma city hotel haipo mji wa serikali.ipo hapo jirani na makao makuu ya ccm . Nyerere square au paradise....kama hujafika dodoma ukae kimya usije umbuka ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa wapi wewe? Miji inakua. Mnakataa kitu mtakachofanya kwa gharama kubwa baadae.Soko au hoteli inahitaji long term plan gani? Hizo zinataka kujengwa na kuleta tija kuanzia mda huo huo
Level za Tanga[emoji28][emoji28][emoji28]huna content sa hv. Unaokoteleza okoteleza ,,,hii inaonyesha how poorly exposed you're....
Unapozungumzia mwanza ni level nyingine.. don't compare with anything
Sent using Jamii Forums mobile app
Msalimie sana mzee sumayeWatoto pendwa!
Issue kubwa kuliko zote ni usumbufu Kwa WanaNchi kufika kwenye hizo stand za MichongoIla ile stend ya dodoma daaah ni hasara labda itafaa miaka 100 ujayo unaingia stend unakuta mabasi 8
five star hotel haina sparking ya magariMaajabu yake ni 5 Star Hotel,Mwanza nzima hakuna 😁😁
Jua watu wanaishi Sasa na Sio baadae, Hivyo kinachosanifiwa Sasa kizingatie uhalisia WA sasaStendi ya mabasi haiko mbali kivile, na ukubwa wake ni sahihi kwa sababu unapojenga mradi kama huo lazima uangalie miaka kadhaa mbele. Stendi imetulia na haina vurugu. Kutokuwa na magari mengi kwa sasa ni kufikiria mwisho wa pua.
Hii ni pia kwa soko la Ndugai, pale lilipo inaweza kuonekana mbali lakini lipo kilometa kama 8 kutoka city centre tena pembeni ya barabara kuu Baada ya miaka 10 litaonekana lipo ndani katikati ya Jiji. Kwa mfano kuna Watu wanatoka Tegeta (kilomita zaidi ya 20) kufuata bidhaa Kariakoo kwa hiyo hakuna ajabu, au alitaka lijengwe katikati ya Mji?!!
Kuhusu hoteli, ile siyo nyota tano labda nyota mbili au tatu ikikamilika. Ikipata usimamizi zuri itaingiza faida kwa sababu ipo katikati ya Mji karibu ya maeneo mengi muhimu.
Napinga miradi isiyokuwa na tija, lakini kwa hiyo miradi ya Dodoma ipo sahihi
Maajabu yake ni 5 Star Hotel,Mwanza nzima hakuna 😁😁
Sasa ni nini? Leo, kesho, keshokutwa, Mwaka kesho, Mwaka keshokutwa?Jua watu wanaishi Sasa na Sio baadae, Hivyo kinachosanifiwa Sasa kizingatie uhalisia WA sasa