Dkt. Msukuma amkosoa Godwin Kunambi kwa kujenga hoteli na Soko la Ndugai, miradi ya hasara tupu!

Dkt. Msukuma amkosoa Godwin Kunambi kwa kujenga hoteli na Soko la Ndugai, miradi ya hasara tupu!

Stendi nyingi hazitakuja rudisha gharama zilizojengewa..

Stendi ya Mbezi pekee ndo itarudisha pesa mapema kabla ya wakati
Kumbe Stendi zimejengwa kuleta Faida???
Mimi ninachojua siyo kila uwekezaji umelenga kuleta Faida, kuna Bustani zina Faida gani, Mnara wa Askari pale Dar na miji Mingine ina faida gani? Mnara wa saa una faida Gani??
Anyway kwakuwa mmeamua kutumia akili za Msukuma ngoja Wajinga tukae kimia
 
Maajabu yake ni 5 Star Hotel,Mwanza nzima hakuna [emoji16][emoji16]
5star ...unazijua five star au unazisikia tu ...Ile inatarajiwa kuwa 3 star .. dodoma nzima ndo hotel ya kwanza kuwa na nyota 3 na ndoo maana haina return Kwa sababu dodoma haina uwezo wa kuafford hotel high class...angalia morena hotel ilivyochakaa sa hv .. kaangalie dodoma hotel ilivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5star ...unazijua five star au unazisikia tu ...Ile inatarajiwa kuwa 3 star .. dodoma nzima ndo hotel ya kwanza kuwa na nyota 3 na ndoo maana haina return Kwa sababu dodoma haina uwezo wa kuafford hotel high class...angalia morena hotel ilivyochakaa sa hv .. kaangalie dodoma hotel ilivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nazijua mojawapo ni Dodoma City Hotel,Mwanza hakuna
 
Soko au hoteli inahitaji long term plan gani? Hizo zinataka kujengwa na kuleta tija kuanzia mda huo huo
Mzee wa wapi wewe? Miji inakua. Mnakataa kitu mtakachofanya kwa gharama kubwa baadae.

Masoud Kipanya week hii alikuwa na katuni ya vilaza😂😂😂😂
 
Iss
Ila ile stend ya dodoma daaah ni hasara labda itafaa miaka 100 ujayo unaingia stend unakuta mabasi 8
Issue kubwa kuliko zote ni usumbufu Kwa WanaNchi kufika kwenye hizo stand za Michongo
 
Stendi ya mabasi haiko mbali kivile, na ukubwa wake ni sahihi kwa sababu unapojenga mradi kama huo lazima uangalie miaka kadhaa mbele. Stendi imetulia na haina vurugu. Kutokuwa na magari mengi kwa sasa ni kufikiria mwisho wa pua.

Hii ni pia kwa soko la Ndugai, pale lilipo inaweza kuonekana mbali lakini lipo kilometa kama 8 kutoka city centre tena pembeni ya barabara kuu Baada ya miaka 10 litaonekana lipo ndani katikati ya Jiji. Kwa mfano kuna Watu wanatoka Tegeta (kilomita zaidi ya 20) kufuata bidhaa Kariakoo kwa hiyo hakuna ajabu, au alitaka lijengwe katikati ya Mji?!!

Kuhusu hoteli, ile siyo nyota tano labda nyota mbili au tatu ikikamilika. Ikipata usimamizi zuri itaingiza faida kwa sababu ipo katikati ya Mji karibu ya maeneo mengi muhimu.

Napinga miradi isiyokuwa na tija, lakini kwa hiyo miradi ya Dodoma ipo sahihi
Jua watu wanaishi Sasa na Sio baadae, Hivyo kinachosanifiwa Sasa kizingatie uhalisia WA sasa
 
Jua watu wanaishi Sasa na Sio baadae, Hivyo kinachosanifiwa Sasa kizingatie uhalisia WA sasa
Sasa ni nini? Leo, kesho, keshokutwa, Mwaka kesho, Mwaka keshokutwa?
Ninyi mnaaibisha elimu yetu.
 
Back
Top Bottom