Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Kuhusu soko la ndugai ,,, serikali ili miscalculate ..wangerenovate soko la majengo.likawa modern..
Kuhusu stendi Kwa geography ya dodoma stendi ingejengwa pale medeli karibu na NHC ili kuruhusu magari yanayotaka njia nne za dodoma kupark bila usumbufu..watu wengi hawaendi nane nane Kwa sababu ni usumbufu na ni gharama..mtu hawezi Toka mipango aende nane nane kupanda gari za Arusha wakati pale ni njiani ..au atoke Nala aende nane nane kupanda gari za mwanza ...
Cha kushauri serikali iwekeze zaidi maeneo ya nzuguni palipo stendi na soko na ikiwezekana wauze viwanja watu wahamie maeneo yale ...Kuna eneo kubwa liko wazi limeshikwa na serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu stendi Kwa geography ya dodoma stendi ingejengwa pale medeli karibu na NHC ili kuruhusu magari yanayotaka njia nne za dodoma kupark bila usumbufu..watu wengi hawaendi nane nane Kwa sababu ni usumbufu na ni gharama..mtu hawezi Toka mipango aende nane nane kupanda gari za Arusha wakati pale ni njiani ..au atoke Nala aende nane nane kupanda gari za mwanza ...
Cha kushauri serikali iwekeze zaidi maeneo ya nzuguni palipo stendi na soko na ikiwezekana wauze viwanja watu wahamie maeneo yale ...Kuna eneo kubwa liko wazi limeshikwa na serikali
Sent using Jamii Forums mobile app