JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Hii ni akili ya kitanzania kabisa.Msukuma pamoja na uccm wake bado ametoa hoja ya msingi moja tu, kwa nini dodoma kulijengwa soko la Ndugai??? je kiasi gani kimeshakusanywa ukilinganishwa na malengo ya makusanyo yaliyokuwepo?? soko la Ndugai ni mradi wa kifisadi kama ulivyo mradi wa stendi kuu ya mabasi Nyamongoro iliyoko Mwanza.
Wewe ulitaka wanjenge mjini afu 2040 wabomoe tena?