Dkt. Musukuma: Hereni kwa ng'ombe zina faida gani?

Dkt. Musukuma: Hereni kwa ng'ombe zina faida gani?

KUTENGENEZA maumivu Kwa wanyama yasiyo na lazima. Hatakama heleni zingekuwepo tangu mbinguni, Sasa zinasaidia Nini, maana kama nikuibiwa ng'ombe anatoroshwa ata kama ni mchana kweupee.
hujui chochote sikujibu
 
Kwa hiyo udaktari wake wa mwendokasi umeshindwa kumsaidia kujua faida za ear tags kwa mifugo? si akawaulize wataalamu......huyu jamaa anajikuta mjuaji sana.
 
Ng'ombe zangu au ng'ombe wangu?
Unahoji hata juu la hilo? Kanda ya Ziwa, wengi hawajui Kiswahili sanifu, na wengine hawafahamu kabisa Kiswahili. Ni kanda ambayo wengi wao muda mwingi huongea lugha zao za makabila, na hivyo kuwa na weledi mdogo kwenye Lugha ya Kiswahili. Tatizo hilo lipo kwa ndugu zangu wasukuma, na hata wahaya. Makabila yote ambayo muda mwingi wanaongea lugha za makabila yao, huwa wana tatizo katika kufahamu vizuri lugha ya Kiswahili. Usukumani mpaka leo, ndiyo sehemu pekee ambayo unaweza kwenda vijijini ukawakuta watu ambao hawajui kabisa lugha ya Kiswahili, yaani hata kile tunachokiita Kiswahili kibovu, hakuna. Huko ndiko nilishuhudia wakati wa mkutano na wananchi akatakiwa kupatikana mkalimani anayekifahamu Kisukuma na Kiswahili. Kwa sababu bila ya kufanya hivyo, wapo ambao hawatakuelewa unaongea nini. Na wao wakitaka kukuuliza, wanakuuliza kwa Kisukuma ambacho na wewe hufahamu.

Huko ndiko utaulizwa, 'ulikwendako? Utarudipo?'.

Kiswahili sanifu ni:

Ng'ombe hawa, siyo ng'ombe hizi.
Ng'ombe wangu, siyo ng'ombe zsngu.
Kuku wangu, siyo kuku zangu.
Mbuzi wale, siyo mbuzi zile.
 
Ulikuwa umeshachukua mkopo ili kama kianzio Cha kupiga Dili Hilo Nini, pole nduguuu.
Hapana mkuu, ila nimekuwa miaka ya 80, ng'ombewa chuo flani waliokuwa jirani na makazi yetu nilikuwa nawaona wakiwa na hizo hereni
 
Nami nataka kujua faida ya hizo hereni

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Mimi naona imefika wakati Bunge liondoke lifutwe tufanye mambo mengine: Wabunge hawa hawa ndio waliopitisha Sheria ya utambuzi, wabunge hawahawa ndio walioandika na kuinadi Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 - 2025 ------ fungua Ilani Sura II uk 49 kifungu 40 (xi). sijui waanasimamia Ilani ipi
 
Elimu ni kitu cha thamani sana!

Hata kama ni Hoja basi ijengwe kwa uzito

Suala hapa siyo Hereni

Suala ni Utambuzi wa Mifugo.

Hereni ni Device bora kati ya Njia nyingi ikiwapo hiyo ya ya kizamani ya kuchoma ngozi kwa chuma cha Moto.

Lakini Ukisikia Mbunge anapinga Utambuzi basi nyuma yake kuna WAHAKUFU WA MIFUGO WASIOTAKA KAZI YAO IFE.

Wezi wa Mifugo wanapinga hili Zoezi kwa Nguvu zote!

Wanajua ikitokea limefanikiwa biashara yao imekufa!

Hilo ndo kubwa wala hakuna issue yoyote na watu hao ni wachache sana ila wana Nguvu.
Kama mihuri na bangili vimeshindwa kuiua, hiyo hereni ina kipi cha ziada?
 
Hereni za wanyama ni kifaa Cha kuwatambua tu
Hata hivyo, hakuna sababu ya msingi kwa serikali kutoa hereni nchi nzima zaidi ya biashara ya kumnyonya mfugaji.
Ambacho serikali inatakiwa kufanya ni kuwashauri tu wafugaji kutambua mifugo yao.
Shughuli ya msingi ya kuongeza uchumi wa nchi ni ufugajia na serikali kulazimisha hereni ni kama kupe tu kwa mfugaji.
Serikali inatakiwa kumpunguzia mzigo mkulima na mfugaji kwa kuwapa ruzuku badala ya kuhangaika na hereni.
Hereni iwe kwenye utawala binafsi wa wafugaji.
 
Unahoji hata juu la hilo? Kanda ya Ziwa, wengi hawajui Kiswahili sanifu, na wengine hawafahamu kabisa Kiswahili. Ni kanda ambayo wengi wao muda mwingi huongea lugha zao za makabila, na hivyo kuwa na weledi mdogo kwenye Lugha ya Kiswahili. Tatizo hilo lipo kwa ndugu zangu wasukuma, na hata wahaya. Makabila yote ambayo muda mwingi wanaongea lugha za makabila yao, huwa wana tatizo katika kufahamu vizuri lugha ya Kiswahili. Usukumani mpaka leo, ndiyo sehemu pekee ambayo unaweza kwenda vijijini ukawakuta watu ambao hawajui kabisa lugha ya Kiswahili, yaani hata kile tunachokiita Kiswahili kibovu, hakuna. Huko ndiko nilishuhudia wakati wa mkutano na wananchi akatakiwa kupatikana mkalimani anayekifahamu Kisukuma na Kiswahili. Kwa sababu bila ya kufanya hivyo, wapo ambao hawatakuelewa unaongea nini. Na wao wakitaka kukuuliza, wanakuuliza kwa Kisukuma ambacho na wewe hufahamu.

Huko ndiko utaulizwa, 'ulikwendako? Utarudipo?'.

Kiswahili sanifu ni:

Ng'ombe hawa, siyo ng'ombe hizi.
Ng'ombe wangu, siyo ng'ombe zsngu.
Kuku wangu, siyo kuku zangu.
Mbuzi wale, siyo mbuzi zile.
Changia mada usiruke km kichaa
 
Unahoji hata juu la hilo? Kanda ya Ziwa, wengi hawajui Kiswahili sanifu, na wengine hawafahamu kabisa Kiswahili. Ni kanda ambayo wengi wao muda mwingi huongea lugha zao za makabila, na hivyo kuwa na weledi mdogo kwenye Lugha ya Kiswahili. Tatizo hilo lipo kwa ndugu zangu wasukuma, na hata wahaya. Makabila yote ambayo muda mwingi wanaongea lugha za makabila yao, huwa wana tatizo katika kufahamu vizuri lugha ya Kiswahili. Usukumani mpaka leo, ndiyo sehemu pekee ambayo unaweza kwenda vijijini ukawakuta watu ambao hawajui kabisa lugha ya Kiswahili, yaani hata kile tunachokiita Kiswahili kibovu, hakuna. Huko ndiko nilishuhudia wakati wa mkutano na wananchi akatakiwa kupatikana mkalimani anayekifahamu Kisukuma na Kiswahili. Kwa sababu bila ya kufanya hivyo, wapo ambao hawatakuelewa unaongea nini. Na wao wakitaka kukuuliza, wanakuuliza kwa Kisukuma ambacho na wewe hufahamu.

Huko ndiko utaulizwa, 'ulikwendako? Utarudipo?'.

Kiswahili sanifu ni:

Ng'ombe hawa, siyo ng'ombe hizi.
Ng'ombe wangu, siyo ng'ombe zsngu.
Kuku wangu, siyo kuku zangu.
Mbuzi wale, siyo mbuzi zile.
Mama wangu na sio mama yangu.Kaka wake na sio kaka yake.
 
Elimu ni kitu cha thamani sana!

Hata kama ni Hoja basi ijengwe kwa uzito

Suala hapa siyo Hereni

Suala ni Utambuzi wa Mifugo.

Hereni ni Device bora kati ya Njia nyingi ikiwapo hiyo ya ya kizamani ya kuchoma ngozi kwa chuma cha Moto.

Lakini Ukisikia Mbunge anapinga Utambuzi basi nyuma yake kuna WAHAKUFU WA MIFUGO WASIOTAKA KAZI YAO IFE.

Wezi wa Mifugo wanapinga hili Zoezi kwa Nguvu zote!

Wanajua ikitokea limefanikiwa biashara yao imekufa!

Hilo ndo kubwa wala hakuna issue yoyote na watu hao ni wachache sana ila wana Nguvu.

Most idiotic comment I’ve ever read here. Acha kujifanya too much know, you know nothing, just exhibiting your foolishness. Mwizi gani anaiba ng’ombe halafu ana acha hereni? Hizo hereni are easily transferable, yaani hazina msaada wowote.
 
Uko nje ya maada, Maada inahusu heleni, kama vipi anzisha post mpta tujadili maneno sahihi ya kiswahili
Maada ni kitu chochote chenye uzito na kinachochukua nafasi.
Mpt,hili neno sijalielewa.
 
Back
Top Bottom