Dkt. Musukuma: Hereni kwa ng'ombe zina faida gani?

Dkt. Musukuma: Hereni kwa ng'ombe zina faida gani?

Elimu ni kitu cha thamani sana!

Hata kama ni Hoja basi ijengwe kwa uzito

Suala hapa siyo Hereni

Suala ni Utambuzi wa Mifugo.

Hereni ni Device bora kati ya Njia nyingi ikiwapo hiyo ya ya kizamani ya kuchoma ngozi kwa chuma cha Moto.

Lakini Ukisikia Mbunge anapinga Utambuzi basi nyuma yake kuna WAHAKUFU WA MIFUGO WASIOTAKA KAZI YAO IFE.

Wezi wa Mifugo wanapinga hili Zoezi kwa Nguvu zote!

Wanajua ikitokea limefanikiwa biashara yao imekufa!

Hilo ndo kubwa wala hakuna issue yoyote na watu hao ni wachache sana ila wana Nguvu.
Mkuu gari INA plate number na inaibiwa icho kiplastic hata kwa mkono kinatoka hapo ni mradi wa MTU waseme tuweke wenyewe
 
Report ya CAG wanaanza kuijadili lini?

Ova
 
Elimu ni kitu cha thamani sana!

Hata kama ni Hoja basi ijengwe kwa uzito

Suala hapa siyo Hereni

Suala ni Utambuzi wa Mifugo.

Hereni ni Device bora kati ya Njia nyingi ikiwapo hiyo ya ya kizamani ya kuchoma ngozi kwa chuma cha Moto.

Lakini Ukisikia Mbunge anapinga Utambuzi basi nyuma yake kuna WAHAKUFU WA MIFUGO WASIOTAKA KAZI YAO IFE.

Wezi wa Mifugo wanapinga hili Zoezi kwa Nguvu zote!

Wanajua ikitokea limefanikiwa biashara yao imekufa!

Hilo ndo kubwa wala hakuna issue yoyote na watu hao ni wachache sana ila wana Nguvu.
Hereni zinazuiaje wizi wa mifugo? Mtu akiiba si anaitoa tu na kuweka hereni nyingine?
 
Waweke microchip sikioni ILI kuwa track ki electronic!!
Ndio kazi ya hereni hizo,ni kufanya tracking pale mifugo ilipo,na katika hili mbona selikali imelitolea ufafanuzi mwingi ila Kuna wabunge wanataka sifa tu,na wakati walishalipitisha katika bunge lilipita na kuanza matumizi yake,ila Kuna baadhi ya changamoto ilijitokeza wakati WA utekelezaji wake ndio maana selikali ililisimamisha kwa muda , ila sio jambo jipya hili bungeni

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom