Elimu ni kitu cha thamani sana!
Hata kama ni Hoja basi ijengwe kwa uzito
Suala hapa siyo Hereni
Suala ni Utambuzi wa Mifugo.
Hereni ni Device bora kati ya Njia nyingi ikiwapo hiyo ya ya kizamani ya kuchoma ngozi kwa chuma cha Moto.
Lakini Ukisikia Mbunge anapinga Utambuzi basi nyuma yake kuna WAHAKUFU WA MIFUGO WASIOTAKA KAZI YAO IFE.
Wezi wa Mifugo wanapinga hili Zoezi kwa Nguvu zote!
Wanajua ikitokea limefanikiwa biashara yao imekufa!
Hilo ndo kubwa wala hakuna issue yoyote na watu hao ni wachache sana ila wana Nguvu.