Amtafute Adv Kibatala😅Mama kama hao watu wenu wa BAKWATA wameshindwa, sasa tafuta lawyer mzuri nenda mahakamani ukadai talaka, talaka sio kitu kigumu sana kutoka na mahakama ina nguvu kuliko hao masheikh wanaowaamulia mambo, kama huna kela anzisha gofund hata mimi nitakuchangia za kumlipa lawyer
PerfectMkuu hilo ni kweli kabisa ndio maana inashauriwa usiingilie mambo ya ndoa na tena usije ukatoa ukashauri kwa watu walio kwenye ndoa waachane||ama waendelee,kwa sababu NI WAO WAWILI TU NDIO WANAOJUA KINACHOENDELEA KWENYE HIYO NDOA YAO!!!!Dr.Mwaka and so called his wife WANAJUA WANACHOTAKIWA KUFANYA kwa sababu mbona mambo yao yalipokuwa mazuri hawakuwashirikisha watu[emoji41]??Kwa nini wakati huu wanawashirikisha watu??Kuna namna nyingi za kufanya divorce settlement bila haya makelele,watumie njia hizo ili wabakie wazazi wema kwa watoto wao lakini all in all kutoa ama kuomba TALAKA ni UBINAFSI TU kwa kuwa wanaoumia the most ni WATOTO HAPO!!!!
END
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujacheki video zake?kasema mwaka anamtumia adi majeneza yamejaa njiwa,we ungependa?tafuta hizo video ziko instagram hukoMama kashasema kitu alichofanywa na Mwaka kikamkosesha amani ya moyo?
Hebu kileteni hapa tukipime kama kweli hicho anachosema ndio kinamkosesha amani ya moyo kweli au tunapigwa kamba?
Baba angu kila mara huniambia "mambo ya watu wanaoongea wakiwa uchi halafu wewe unaenda kushauri umekaa nguo, lolote laweza kukupata dhidi yao. Aidha wakielewana utatafuta pa kujificha, wasipoelewana utaonekana mchochezi upande mmoja na wakiumizana utaonekana ndio chanzo."Sio mwanamke tu, hata mwanaume hafai kufanya adui yako.
Yani nyie mguswe na situation ya familia yake, then mumpatie laana? Hakuna kitu kama hicho.
Halafu mkuu, ugomvi unaohusu mahusiano ya kimapenzi sio wa kuuingilia kichwa kichwa. Achana na haya wanayosema hadharani, kunakuwaga na mengi sana behind the scene. Watu ambao walikuwa wanalala uchi pamoja, kwa muda mrefu, leo wanageuka maadui, halafu wewe mtu Baki unakuja na simple explanation.? Acha kuweka conclusion kwenye kitu ambacho hujui mwanzo ni upi.
Na ndio huwa ipo hivyo mkuu.Baba angu kila mara huniambia "mambo ya watu wanaoongea wakiwa uchi halafu wewe unaenda kushauri umekaa nguo, lolote laweza kukupata dhidi yao. Aidha wakielewana utatafuta pa kujificha, wasipoelewana utaonekana mchochezi upande mmoja na wakiumizana utaonekana ndio chanzo."
Kiukweli hakuna shida ameamua kusaliti ndoa kufuata mfadhili. Nilikua najaribu kuweka nadharia kwamba jeuri ya kuondoka na kuacha kila kitu haiwezekani bila ya uwepo wa mtu anaemrubuni!Sasa kama kuna mfadhili shida iko wapi ndugu?lazma asonge mbele eti au hujamsikia mwaka aliposema anampenda mkewe ila hayuko tayari kuishi nae tena?kwahiyo mnadhani yule queen ni sister wa roman catholic adi asiolewe tena?
Jamaa atoe tu hiyo talaka mambo yeshe
Mkuu maono yako yanahitajika kule pmukiitazama sura yake nagundua mama ana mambo mengi ameyapitia na yanamuumiza sana.. Dr. Mwaka amejivua nguo mwenyewe kwenye hili sakata..
Like serious? Uue?Sana sana Ana kautulivu
Yaani hiyo show ingekua yangu nadhani tungekuwa na msiba Saa hizi
Kituko ni ww kanjanjaAnazidi kujiaibisha tu mwanamke hamtaki kuendelea kujifanya kidume anaonekana kituko tu,
Safi. Ni mtazamo wako tunauheshimuMimi siwezi gombea mali na mke niliyezaa nae. Magari, majumba, mashamba, viwanja we beba zaidi tavipini kwa watoto.
Anayetaka kuvunja ndoa ndiye anatakiwa kutoa talaka. Kwenye Uislam mke ana haki ya kutoa talaka pia. Atoe basi kama kweli yeye mwanamkeMwambie kakako atoe talaka mke hamtaki