Dkt. Mwaka ajitafakari. Upendo ukiisha ni busara kukubali kuachia na maisha yaendelee

Dkt. Mwaka ajitafakari. Upendo ukiisha ni busara kukubali kuachia na maisha yaendelee

Ili tuamini au tusiamini cha kwanza ampe kwanza baada ya hapo ndo tutajua nani mkweli nani muongo!
Ila nnachoona mwaka kila akikumbuka mabakuli ya supu na uji ambayo alisema queen alikua anamwasha nayo roho inamdunda sio kidogo🤣🤣
Akishatoa talaka hakuna kurudi nyumba hapo moja kwa moja mahakamani na machungu atayapata Mwaka sio wapambe wa mtandaoni. Kwa utaratibu wa dini yao mwanamke anaweza kutoa talaka ila atawajika kurudisha mali na gharama zingine azopewa na mwanaume ikiwemo mahari. Ninachokiona hapa Mwaka na mkewe wanaviziana mke anataka Mwaka ndio atoe talaka akijua iyo itampa uhalali wa kudai mgao wake wa mali, Mume nae machale yamemcheza ndio maana kagoma kutoa iyo talaka. Ushauri kwa uyo dada kama kutoa talaka ni rahisi basi atoe yeye aache mali pamoja na kurudisha gharama zote alizohudumiwa ikiwemo mahari ili apate iyo amani ya moyo anayoitaka
 
Huyu Dada Nae Mpuuzi sana Mambo ya Ndoa Kila siku anakimbia na Mamidia sasa Media itakusaidia nn?? wakati Mwingine muachen ujinga..
Huyu Mwaka nae akiwambia mambo ya huyu dada pengine mkazimia kabisa....

Ingawa Mwaka alijifanya mwamba eti ooh Kama huna nguvu za kiume fanya hili fanya lile mm wake zangu nawapa haki bla bla kibao sasa kiko wapi leo mwanamke hakutaki muachee aende akaolewe shida nn?? unadhani mpaka ameamua kukuacha Hajapata mume??
 
Lakini kwanini sisi hatujwahi kuipenda kweli watu wangu?

Kosa la Mwaka liko wapi?

Unajua mwanaume unapokuwa na mke wako unamhudumia kwa kila hali halafu ghafla unamfumania analiwa na jitu labda limehonga mafuta ya 50k tu ni sawa?
Kwanini hamvai kiqtu cha Mwaka?
Kama Mwaka ana makosa na wameahindwa kusuluhishwa hapo sawa.
Lakini kwa ishu ya uzinzi tutetee uovu wanangu?
sitetei kabisa.kama ishu ni uzinzi ni rahisi zaidi.MUACHE MZINZI AENDE!Anamng'ang;ania wa nini mzinziz aise!!??
Mwamba anakwama sana!
 
Mwaka ametaka mali?
Mwaka anatake msaliti aendelee kuwa kwenye himaya yake.
Mnamkandamiza mwanaume mwenzenu kwa kutishwa na machozi?

Wewe mke achepuke kirahisi akimbilie kuomba talaka?

Ninasimama na mwaka.
Siku Mwaka akifunua mdomo mtaaibika sana watetezi wa mwansmke huyu
mwanamke mzinzi,MSALITI,kwenye himaya yako WA NINI BWANA MKUBWA??mUache akaendelee kuzini huko aendako.kumshikilia ni kufurahia ufungwa wake tu.ishu sio machozi.ishu ni mwanaume mwenzetu anavyo behave kwa mwanamke "mzinzi"
 
Kuna kuacha na kuachwa ivyo vtu vinamaana sana ktk sheria sasa msojua ya nyuma ya pazia mnapauka pauka tu apa hamjui ata kutofautisha

Kuachwa sheria zake ni zingne na kuacha sheria zake ni zingne mkitambua ilo itawasaidia kulko kufanya ushabiki wa kimandazi
 
mwanamke mzinzi,MSALITI,kwenye himaya yako WA NINI BWANA MKUBWA??mUache akaendelee kuzini huko aendako.kumshikilia ni kufurahia ufungwa wake tu.ishu sio machozi.ishu ni mwanaume mwenzetu anavyo behave kwa mwanamke "mzinzi"
Mwaka anamjambisha tu huyo mwanamke
 
Mama kama hao watu wenu wa BAKWATA wameshindwa, sasa tafuta lawyer mzuri nenda mahakamani ukadai talaka, talaka sio kitu kigumu sana kutoka na mahakama ina nguvu kuliko hao masheikh wanaowaamulia mambo, kama huna kela anzisha gofund hata mimi nitakuchangia za kumlipa lawyer
 
Nikisoma comment za watu humu jf nagundua kila siku kwamba kuna baadhi ya wanaume ni very weak. Nahisi hata neno weak halitoshi! Very pathetic.

Sasa kama mwanamke ndo anataka mwaka amuache tena anataka aondoke peke yake asichukue chochote unasemaje mwanamke ni msanii? Huwa mnaona upande wa mwanamke ndo wenye tatizo siku zote.
Mnaosema kataa ndoa mngeanza kwanza kukataza ndoa za mitala sijui wake wanne ni ushenzi tu! Kama huwezi kumudu wanawake hata wawili basi usijifanye unafatisha dini kumbe unataka kufanya unyanyasaji tu.

Ona wapuuzi watakavyokuja na povu. I hate misogynists na sichoki kuvurugana na nyie ili kutetea haki ya mwanamke anaeonewa. Dr mwaka si umuache huyo mama unamkomalia ili umuue au?
 
Kapeace wewe ni rafiki yangu mpendwa na najua una akili kubwa.

Nyie wanawake sisi tukiharibu na kuwaacha mnaona tunawapotezea muda na tumewachezea.
Kwanini msione hili kwa huyu mama kuwa kampotezea mwenzie muda na gharama?
Si ana mke mwingine jamani? Huyo amuache. Unless kuna ambacho hatuambiwi katika saga lote hili.
 
Mwaka anamjambisha tu huyo mwanamke
huu ndo us&^%$# sasa,anamjambisha nini kama bado hamtamani??aache kuchambana na demu.kama aliliwa nje ye avute chuma ingine ya moto aweke ndani,atemane na mzinzi.anakwama sana
 
Si ana mke mwingine jamani? Huyo amuache. Unless kuna ambacho hatuambiwi katika saga lote hili.
Hatuambiwi mengi.
Hawa ni wanandoa kufikia hapa ujue kuna moto.
Kumbuka sakata hili limechangia kumng'a shekhe mkuu wa mkoa wa Dar
 
Hivi kwani huyu dada alifumaniwa? Na hata km alifumaniwa bado yeye ndo anadai talaka shida iko wapi?

Kama sivyo mwaka anakosea ilitakiwa alimalizie hukohuko lisifikie hapa,, kwa picha ilivyo dokita anakosea kumtisha na kuzungusha kutoa talaka,, mwanamke akifikia hapa huwa haitakiwi kumng'ang'ania ampe talaka yake waachane, akaolewe kwingine na hiki ndicho mwaka kinamkoroga utumbo,, nimepitia kitu km hiki wanaume nawajua vizuri vichwa vyenu
Huyo mama hakufumaniwa. Huyo ulomjibu ana shida tu na wanawake atatafuta sababu ili mradi mwanamke aonekane hafai.
 
Huyo mama hakufumaniwa. Huyo ulomjibu ana shida tu na wanawake atatafuta sababu ili mradi mwanamke aonekane hafai.
Labda ana taarifa tofauti na hizi tunazoona mitandaoni, ila mpk saiv dokta anaogopa kumuachia mwanamke, ili asiolewe hiki ndicho kinamtesa, na km wamefikia hapa ni wazi kumeanza kufukuta zamani sana
 
Labda ana taarifa tofauti na hizi tunazoona mitandaoni, ila mpk saiv dokta anaogopa kumuachia mwanamke, ili asiolewe hiki ndicho kinamtesa, na km wamefikia hapa ni wazi kumeanza kufukuta zamani sana
Wanaume design ya Dr Mwaka ni makatili. Ndo haya unayoyaona hata humu jf yanakwambia mwanamke asifanye kazi. Ili yapate nguvu ya kuendelea kumnyanyasa mwanamke.

Wanawake wajifunze, ukiwa huna kitu unategemea mwanaume akutunze mwishowe ndo hivo linajiona kama baba ako. Wahed
 
Labda ana taarifa tofauti na hizi tunazoona mitandaoni, ila mpk saiv dokta anaogopa kumuachia mwanamke, ili asiolewe hiki ndicho kinamtesa, na km wamefikia hapa ni wazi kumeanza kufukuta zamani sana
Huyo mama ameshapata bwana wa kumuoa na hiyo ndiyo ilikuwa sababu kubwa ya shekh mkuu wa dar kuondolewa madaraka.
Dr Mwaka sio kwamba anashindwa kumuacha ila anaogopa Kuna stahiki za mwanamke lazima atapata kama mgao wa mali na kadharika .. Dr Mwaka anataka aachwe yeye apewe yeye taraka anajua akiachwa yeye kuna vitu vingi atafaidika navyo kuliko mwanamke.
NB:Huyu mwanamke ni msanii kiislam kama mwanaume hataki kutoa taraka mwanamke anao uwezo wa kutoa taraka,Sasa yeye mwanamke anashindwa nini kutoa taraka apate hiyo amani ya moyo anayotaka?
 
Huyo mama hakufumaniwa. Huyo ulomjibu ana shida tu na wanawake atatafuta sababu ili mradi mwanamke aonekane hafai.
Umewahi kuona wapi nina kashfu wanawake?
Au mtu hupaswi kuongea ukweli uliousikia?
Siku hizi wanawake mnateteana kwenye makosa sijui kwanini.
Mimi huwa sipendelei hata nikikkosea mwenyewe najilaumu
 
Umewahi kuona wapi nina kashfu wanawake?
Au mtu hupaswi kuongea ukweli uliousikia?
Siku hizi wanawake mnateteana kwenye makosa sijui kwanini.
Mimi huwa sipendelei hata nikikkosea mwenyewe najilaumu
Ulimfumani wapi mke wa Dr mwaka?
 
Back
Top Bottom