Ushauri wangu jirani ukishaoa kila siku ombea wapendane kama hao wa Mwaka. [emoji28][emoji28]
Ni kama king mswat tu....alikuwa anawachagua kwenye foleni ya wateja zake,ni kama wewe leo uende kwenye foleni ya kuchota maji kisimani.Ila anafaidi jamani maana nimewaona wale wanawake ni mashaallah
Mimewaona dada lakini mie kushindwa mweehNawaza tu wanavyopendana kiasi hicho hao wake je na yeye wanampenda hivyo hivyo?
Nipo Kipenzi jana nililala mida ile nakuja amka ndio nakuta jumbe zako Mdogo. 😍😍😍
Umewaona wake wa Dr lakini?
Hahahaaa!! Washindiwa nini sasa mdogo wangu? 😎😎Mimewaona dada lakini mie kushindwa mweeh
Wachaaa!Watajua wewenyewe wasipo elewana ilimradi mimi taelewana nao wote
Sent using Jamii Forums mobile app
rafiki kwanini isiwe mwanaume ndio katumika kama chombo cha starehe??,kumbuka hapo wanawake wapo wawili na mwanaume ni mmoja,kwa akili ya haraka unadhani ni yupi anayeumia wakati wa tendo??.Hapa ndipo napoona wanawake kweli hawajitambui,unatumika kama chombo cha kustarehesha,huku ukitoka nje unadai haki sawa NA wengine wapo wanaona wanavyodhalilishwa lakini wamekaa kimya...
Mie siwezi dada hahha nitaitwa dada mindoa soonHahahaaa!! Washindiwa nini sasa mdogo wangu? 😎😎
Kwa wanandoa ndio, mke na mume sharti wafanye mapenzi ndio maana ya ndoa.Nauliza hivi mkilala kitanda kimoja ni lazima mfanye mapenzi
Kheeee kila siku wanandoa ina maana wanafanya mapenziKwa wanandoa ndio, mke na mume sharti wafanye mapenzi ndio maana ya ndoa.
Karibu Bongo BINTI KIZIWI pôle na yote yalikukuta China, nimeona interview yako.Kuhoji ni special skill ambayo clearly wana habari wengi wa kibongo hawana, ni wachache sana wanaoweza hili.
👏👏👏Kama hao wanawake ni wake zake..
Kama wote hao wake zake hawana tatizo kulala naye kitandani wakiwa pamoja..
Nyie wengine tatizo lenu ni nini hasa?
Labda ninaloweza kumkosoa ni yeye kuongelea mambo ya chumbani kwake redioni.
Zaidi ya hapo, sina tatizo na yeyote yule alalaye kitandani mwake madhali si mtoto dogo au mtu aliyelazimishwa kulala naye.
kama sio wanandoa hapo imekaaje??Kwa wanandoa ndio, mke na mume sharti wafanye mapenzi ndio maana ya ndoa.
Usipingane na vitabu vitukufu ukhuty😀Mimewaona dada lakini mie kushindwa mweeh
Swali zuri sana🤪Hahahaaa!! Washindiwa nini sasa mdogo wangu? 😎😎
Inategemea "ntu na ntu". Ingawa kidini naona kama sio sahihiKheeee kila siku wanandoa ina maana wanafanya mapenzi
Sipingani navyo kakaUsipingane na vitabu vitukufu ukhuty😀
Ina
Inategemea "ntu na ntu". Ingawa kidini naona kama sio sahihi
Kama mume anamudu na mke yupo tayari haikatazwi. Suala ni kwamba "afya" hizo zipo hasa zama hizi za chips yai?Haya tuje upande wako sasa ina maana hili tendo ni kila siku kwa wanandoa nitoe ukungu
Akija mwenzio ku mpole tu, mpokee kwa furaha na mapenzi🤪Sipingani navyo kaka
Ndo ninapojiuliza hapo kila siku mweeheK
Kama mume anamudu na mke yupo tayari haikatazwi. Suala ni kwamba "afya" hizo zipo hasa zama hizi za chips yai?