binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Lakini piaa baadhi ya wanao host vipindi hawajui ni maswali gani ya msingi kuuliza anapokua anatoa interview kwa watu wa makundi tofauti kulingana na taaluma zao
Ivo tasnia ya habari imekua ikifikiri udaku tu ndo utaweka umaarufu kwenye vipindi vyao badala ya kujua future ya tradition medicine kutoka kwa dr mwaka
Inasikitisha sana
Kuhoji ni special skill ambayo clearly wana habari wengi wa kibongo hawana, ni wachache sana wanaoweza hili.