Dkt. Mwigulu, inakuwaje mnatuambia Miradi ya Hayati Dkt. Magufuli inaendeshwa kwa mikopo mikubwa na migumu kuhimilika?

Dkt. Mwigulu, inakuwaje mnatuambia Miradi ya Hayati Dkt. Magufuli inaendeshwa kwa mikopo mikubwa na migumu kuhimilika?

Kwa ujumla, awamu ya 5, zaidi ilitegemea ulaghai ili kutafuta kuungwa mkono, hasa na watu wajinga. Na hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya yeye kuzuia mikutano ya vyama vya siasa, na uhuru wa vyombo vya habari, kwa kuhofia kuwa hata wale wajinga wanaweza kueleimika wakaujua ukweli.
Ni mradi gani ulisikia ukikwama kwa awamu ya Tano?
 
“Hatujaweka kodi kwenye laini za simu kama ambavyo baadhi ya wananchi wamekuwa wakichanganya, hata kule Bungeni wanachanganya wanasema sasa kila siku itakuwa inakatwa shilingi 10 mpaka 200 kwa hiyo kama ni 200 kwa siku 30 ni shilingi 6000, halafu hata kama hukuweka fedha, siku ukiweka inakatwa kama nipige tafu, hatukuweka hivyo”, alieleza Dkt. Nchemba.

Alibainisha kuwa haimaanishi kwamba shilingi 10 sio mzigo lakini Serikali iliangalia matatizo yaliyopo na kugundua kuwa yanagharimu zaidi, kuliko thamani ya shilingi 10 itakayotozwa kama kodi.

Alifafanua kuwa miradi mikubwa inayotekelezwa nchi ukiwemo wa mradi wa Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere ambao unahitaji zaidi ya shilingi trililioni nne na ujenzi wa Reli ya Kisasa unaohitaji zaidi ya shilingi trilioni 20 ili kukamilika, iwapo fedha zote zitategemea mikopo nchi itapitiliza uwezo wa kukopa na kutokukopesheka hivyo ushiriki wa wananchi ni muhimu.

My Take:
Leo mmeamua kutuvisha zigo la kujenga Reli na Bwawa la Stiegglers kupitia simu zetu wakati mlituambia fedha ipo na mipango ilikuwa tayari mezani. What went wrong?? (In Dk Mpamire`s voice).
CCM NAMBARI WANI
 
Mwenda zake aliacha akikusanya kodi ya shillingi trillioni 1.9,toka ameondoka machi, april makusanyo yamefikia trillioni 1.3,na kwa sa hv hizi mbio za covid zinazoanzishwa tutafikia bilioni mia 800 hadi 900 mwisho wa mwaka.

Wakati katika kila mwezi tunatakiwa tulipie bilioni 700 kwa ajili ya madeni tu.

Mwendazake aliacha trilioni 9 hazina sasa zipo 6.

Kazi iendelee
Yule dhalimu alikuwa ni muongo wa kutupwa. Hizo data alikuwa anapika.
 
Ninaupeo kidog wa elimu ya uchumi na wazo la Mhe. Nchemba ni la kitoto kibixa kwasababu mtu ukiweka vocha palepale unakatwa indirect tax na Leo hii unakuja na wazo la kunitoza Tsh 10 maana ake hapo ninalipa tax twice na kitu kingine watanzania wengi ni wapo maisha ya chini xana yaan mtu anahagaika kuitafuta 1000 aweke vocha siku nzima alf wonderful enough unamkata 10 maana ake anabaki na Tsh. 990 xaxa Apo anaweka kifurushi kipi tuelezane tu ukweli .
Yaan unaisaka bikira kweny odi ya wazazi huzi ni akili uchwala .
Yaleyale ya head tax ya mkapa yanarundi teni in modified form .
"HII NCHI NGUMU HII"
Kubaliane tutakuwa tunaweka vocha za 1500 ili wakikata inabaki ya kujiuga kifurushi Alf ile Mia 490 potelea mbali na je serikali haiona xaxa ni loss kubwa unaenda kujitokesa kwa watanzania amby ni kupoteza 490 hii itaasiri xana kwa watumiaji wa voda make voda ukiunga kifurushi centi zinazobakia Kama sehemu ya vocha wanazitumia kwanza ndo wanaenda kweny kifurushi this is a big loss .
Hawa watu wawili waliplay a big role in building a nation ,
1. Mkapa alitoa head tax ambayo ndo
imerundi in form of cm.
2. JPM Alifanikiwa kuweka infrastructure nzuri
Kwa kukusanya tax zinazoeleweka na kwa
Kuzingatia uchumi wa watu wake .
Mkapa, JPM pumzike salama kwa kweli mwanga wa bwana uwamulikie siku zote Amina .
Tanzania kila mtu ni mpiga .
Nilichoshangaa kweli walivyotaka kuharibu mfumo mzuri wa ukusanyaji wa kodi ulikokuwepo, kama kulikuwa na changamoto walitakiwa wazitatue bila kuathiri makusanyo
 
Ni mradi gani ulisikia ukikwama kwa awamu ya Tano?
Reli ya SGR kipande cha Dar-Moro walisema kitakamilika nov 2019, mpaka leo ni porojo tu. Bomba la mafuta ya Uganda walisema litakamilika dec 2020, mpaka leo ni porojo za kusaini mikataba tu.
 
Reli ya SGR kipande cha Dar-Moro walisema kitakamilika nov 2019, mpaka leo ni porojo tu. Bomba la mafuta ya Uganda walisema litakamilika dec 2020, mpaka leo ni porojo za kusaini mikataba tu.
Kwenye mradi kuna changamoto huwa zinatokea zinazopelekea mradi kuchelewa, mfano swala la corona. Chukulia mfano kwenye huo ujenzi kama kuna material wanatakiwa kuzisafirisha kutoka nje.
 
Yaa kwa vipande vyote,Magu ni kimeo sana bora hizi pesa ambazo tayari zimewekwa kwenye sgr ambayo inaweza kukamilika 2030 zingewekwa kwenye barabara tungeshafika mbali sana
Wewe ni chitumbafu cha mwisho! Hivi mbuzi kama nyie huwa mnalia wapi majani?
 
Kwenye mradi kuna changamoto huwa zinatokea zinazopelekea mradi kuchelewa, mfano swala la corona. Chukulia mfano kwenye huo ujenzi kama kuna material wanatakiwa kuzisafirisha kutoka nje.
Anaelewa basi huyo mpumbavu! Nchi hii ina changamoto nyingi sana hasa ukizingatia na hawa wapumbavu wamekuwa wengi; basi taflani!
 
Kwenye mradi kuna changamoto huwa zinatokea zinazopelekea mradi kuchelewa, mfano swala la corona. Chukulia mfano kwenye huo ujenzi kama kuna material wanatakiwa kuzisafirisha kutoka nje.
Nov 2019 corona ilikuwa bado boss. Serikali ile ilikuwa ni ya npika data, hata hao akina Mwigulu wanachoongea sasa ni kutokana na ugumu wa yule dhalimu wa kukopa hovyo na miradi ya kukurupuka.
 
Nov 2019 corona ilikuwa bado boss. Serikali ile ilikuwa ni ya npika data, hata hao akina Mwigulu wanachoongea sasa ni kutokana na ugumu wa yule dhalimu wa kukopa hovyo na miradi ya kukurupuka.
Kwenye mradi wowote kama hujafika site huwezi kujua ni kitu gani kimesababisha mradi kuchelewa. Kuna swala la mchakato kupata vibali linaweza kuchelewesha pia mradi.Hakuna hata mradi mmoja ambao ulisimama, sasa utasemaje wanapika data kama tunaona kwa macho yetu progress ya miradi
 
Kabla ya kuchangia chochote hapa, naomba kwanza niutambue uwepo wa Waziri wa Tozo Mh. Dr. Mwigulu Nchemba!

Dah! Umetupatia sana mzee baba kwa hizi Tozo! Wote zinatuhusu! Siyo kama kipindi kile, eti Watumishi wa umma wasipandiswe madaraja yao kisa hela zinaenda kununulia ndege! Kwa awamu hii, naamini hizi tozo zitamkamua kila mtu! Na hivyo wote tutalia kilio cha aina moja.
Ninaomba unywe soda kwa Mama sipendeki nitalipa kwa halopesa.....comment nzuri sanaaaaaa
 
wale wenzetu wagumu kuelewa....sasa bila shaka mtaanza kuelewa. Binafsi nilijua haya big project tuliyoyavagaa mwisho wake ni hatari, nilipenda sana yule jamaa awepo ili aone matokeo ya akili zake....Binafsi nilijua tu mwisho wake, kuzipata hizo hela sio kazi rahisi ndio maana SGR ilikuwa inasuasua maana issue ni malipo....kuendesha mambo kwa uwazi ni jambo zuri sana kuliko ule uhuni matokeo yake mpaka leo wenye uwezo mdogo wa kufikiri walizibeba propaganda..
 
Watachukua zile wanazokwenda kumpora Singasinga wa IPTL - Bilioni 26
Tirion 1 = bilion 1000 kwa hiyo tirion 20 ni sawa na bilion 20000(elfu ishirini) hizo anazolipa mzee wa IPTL bilion 26 ni chache sana kwenye hiyo tirion 20 ya reli..
 
Mwenda zake aliacha akikusanya kodi ya shillingi trillioni 1.9,toka ameondoka machi, april makusanyo yamefikia trillioni 1.3,na kwa sa hv hizi mbio za covid zinazoanzishwa tutafikia bilioni mia 800 hadi 900 mwisho wa mwaka.

Wakati katika kila mwezi tunatakiwa tulipie bilioni 700 kwa ajili ya madeni tu.

Mwendazake aliacha trilioni 9 hazina sasa zipo 6.

Kazi iendelee
Na inaendelea kweli
 
Pesa ilyobaki inaelekea kuisha tuanze kupiga jalamba
 
Kwenye mradi wowote kama hujafika site huwezi kujua ni kitu gani kimesababisha mradi kuchelewa. Kuna swala la mchakato kupata vibali linaweza kuchelewesha pia mradi.Hakuna hata mradi mmoja ambao ulisimama, sasa utasemaje wanapika data kama tunaona kwa macho yetu progress ya miradi

Yaani mradi uwe nje ya muda kisha bado useme hakuna mradi uliosimama?. Kama haujasimama kipi kimefanya usimalizike kwa wakati? Hilo neno kuwa mradi unaouna kwa macho ndio neno lililotumika kuwapambaza watu wa aina yako. Ww ndio wale wakiona mtoto wake kavaa uniform na kubeba madaftari, basi wanaamini huko darasani anasoma.
 
Back
Top Bottom