Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Ni kweli kua nchi inajengwa kwa mapato ila kuna mambo ya ajabu ambayo sikuwahi kuwaza kuyaona kwa nchi tajiri kwa resources:
-Kupandisha transaction charges za benki kwa user aki draw
-gharama kuwa juu kwa pesa za mitandao
-too much charges kwenye mafuta ie petrol na diesel
- gharama za line
Labda jiulize rasilimali za madini, gesi pekee zinatosha kugharamia miradi mingi tu ila miaka inavyoenda ni kama hakuna kitu upande huo, tatizo nini?
-Kupandisha transaction charges za benki kwa user aki draw
-gharama kuwa juu kwa pesa za mitandao
-too much charges kwenye mafuta ie petrol na diesel
- gharama za line
Labda jiulize rasilimali za madini, gesi pekee zinatosha kugharamia miradi mingi tu ila miaka inavyoenda ni kama hakuna kitu upande huo, tatizo nini?