Dkt. Mwigulu, inakuwaje mnatuambia Miradi ya Hayati Dkt. Magufuli inaendeshwa kwa mikopo mikubwa na migumu kuhimilika?

Ni kweli kua nchi inajengwa kwa mapato ila kuna mambo ya ajabu ambayo sikuwahi kuwaza kuyaona kwa nchi tajiri kwa resources:
-Kupandisha transaction charges za benki kwa user aki draw
-gharama kuwa juu kwa pesa za mitandao
-too much charges kwenye mafuta ie petrol na diesel
- gharama za line

Labda jiulize rasilimali za madini, gesi pekee zinatosha kugharamia miradi mingi tu ila miaka inavyoenda ni kama hakuna kitu upande huo, tatizo nini?
 
mkuu matajiri wengi walopata tabu sana utawala ulopita ni wale walozoeshwa na serikali ilopita kulipa kodi kwa kubargain na kubembelezwa, so jiwe hakuwa mtu wa kubembeleza ndo maana walikumbana na misuko suko
 
Mnataka hela zetu mnatuita wananchi.
Halafu vikishajengwa , wanapanua panua na midomo yao michafu, kwenye uzinduzi kuwa CHADEMA sio wazalendo. Pumbavu.
Leteni katiba mpya ya wananchi wote. sio hii ya CCM tu.
 
Mkuu wewe bado umevimbiwa na matango pori uliyolishwa na magufuli? Hivi wakati unasikiwa watu wanasema magufuli alikuwa baba wa uongo,wewe ulikuwa unaelewa nini? Anyway lipa kodi kwa maendeleo ya nchi yako
 
mkuu matajiri wengi walopata tabu sana utawala ulopita ni wale walozoeshwa na serikali ilopita kulipa kodi kwa kubargain na kubembelezwa, so jiwe hakuwa mtu wa kubembeleza ndo maana walikumbana na misuko suko
Ulilishwa matango pori na wewe ukayameza kama yalivyo.JPM kishasema anataka wale waliokuwa wanaishi kama malaika waishi kama mashetani,sasa ili kujustify nia yake hii ulifikiri anfetumia lugha gani kukuaminisha wewe mnyonge uelewa anachokifanya si uovu?
 
Sijui kwanini naona nchi ina ombwe la uongozi nafsini mwangu toka magufuli afariki
 
Pesa ilyobaki inaelekea kuisha tuanze kupiga jalamba
Hakuna nchi ilojengwa ki lelemama hii serkali itatoa visingizio cha project hazitekelezeki kwa sababu ya ugoigoi wa viongozi katika kusimamia nchi! Wanafikiri kuongoza nchi ni kama kuongoza kundi la taarabu!
 
I don't understand....hivi serikali inaposimama halafu mtu anaongea hivyo ana maana gani? Kama ameshindwa kuongoza si aachie madaraka? We want solutions. Haya mambo ya kila mtu analalamika yanatusaidia nini?
 
Hao vibarua unataka wakatwe zaidi ya PAYE? Mkuu we unafanya shughuli gani ya kukuingizia kipato?
 
Wabunge nao walipe kodi na wakatwe pesa za pensheni
 
Mfuate
 
Tujulishwe huko kwenye kuchangia Mawaziri na Wabunge (kwa kuwa wazo limetoka kwao) watakuwa wanakatwa asilimia ngapi kutoka kwenye mishahara na posho zao kwa ajili ya kuchangia kufanikisha hiyo miradi ya maendeleo kabla ya kuanza kuwafinya hawa wabangaizaji wa kawaida wanao struggle ku survive.
 
Acha mawazo mgando wewe, kwa hiyo unaona 2030 ni mbali sana? SGR na Bwawa la umeme Rufiji ni miradi muhimu sana itakayoboost uchumi wa nchi.
Hadithi hizo bora hata mradi wa umeme? Kwa akili yako reli na barabarani kipi kinachochea maendeleo fasta?

Huko lake zone mlikuwa na reli toka enzi za mkoloni mliendelea kwa lipi? Bila mkapa kuwajengea barabara mungeendelea kunuka mavi ya ng'ombe
 
Watatafuta mikopo ya bei nafuu kwa mujibu wa Waziri wa fedha baada ya kufanyiwa due deligence ya uwezo wa nchi kulipa madeni maana saizi inaonekana ni nchi masikini inahitaji kusaidiwa.

Ila baada ya kuganyiwa huo mchakato hapo juu itaweza sasa kwenye kukopa kwenye masoko ya mitaji mikopo ya bei nafuu
 
Wewe ni chitumbafu cha mwisho! Hivi mbuzi kama nyie huwa mnalia wapi majani?
Wewe kenge jike kwenu mlikuwa na reli toka mkoloni mliendelea? Huna akili kama lile jinga limwendazake .Kwa hiyo speed ya train ikiongezeka ndio itaongeza kasi ya maendeleo?

Kwa akili yako ya matakoni unadhani barabara na reli kipi kinachochea maendeleo kwa haraka?

Mumshukuru Mkapa aliwajengea barabara mungeendelea kurundikana kwenye matreni kama ng'ombe zizini.
 
Mwendazake alikuwa dalali wa maneno,
 
kodi ya simu imetambulishwa awamu ya sita mama angu acha pombe.
 
Akili zako hata hazijui nini kinasimamia. Yani unawaza kesho tu.
 
Akili zako hata hazijui nini kinasimamia. Yani unawaza kesho tu.
Wewe unaewaza keshokutwa kuna nini cha maana umechangia zaidi ya pumba? Basi unajiona msooomi kumbe kopo,huko kwenu kuna biashara gani kati ya ukanda huo na ukanda wa Pwani au sehemu zingine za nchi? Hakuna cha maana mnazalisha huko,kinachowabeba ni migodi ikibakia mashimo hakuna kitu mtachangia kwenye uchumi zaidi ya kutia hasara nchi.

Tzn hii kama ni sgr ingejengwa njia ya SADC ndiko kuna mzigo wa zaidi ya 75% sio huko ambako hakuna cha maana mnafanya zaid ya kuzaana kama panyabuku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…