Dkt. Mwigulu, inakuwaje mnatuambia Miradi ya Hayati Dkt. Magufuli inaendeshwa kwa mikopo mikubwa na migumu kuhimilika?

Sisi sio kwamba hatutaki kuchangia,tatizo ni viongozi kutudanganya utazani hayo madeni watalipa wao.
 
Sio kwamba hatutaki kuchangia,tatizo ni viongozi kutudanganya utazani hayo madeni watalipa wao. Wenye nchi ni sisi lazima tuambiwe ukweli.
 
Kat
Mwendazake alikua mtu wa fix sana
Katuachia deni kubwa sana la Trillion 31 katika kipindi cha miaka 5 tu,inakaribia jumla ya madeni yalioachwa tokea Raisi Nyerere, Mwinyi,Mkapa,Kikwete .
Wengi wetu tuliamini tunajega mega projects kutumia mapato ya kodi zetu ,kumbe ni vice versa.
Lakini kuna wakati Zitto akiwa mbunge alionya kuhusu kupanda ghafla kwa deni la taifa.
Na wabunge walio wengi wa CCM wakapuuzia,Magufuli alijua kucheza na akili za Watanganyika,tuandike katiba mpya,tuachane na one man show.
 
sisi tunajenga miradhi yetu kwa fedha za ndani, hatukopi sehemu... ni mwendo wa CASH!
 
Brain wash,ni siraha hatari, kila siku unaambiwa kitu kile kile TUNAJENGA SGR KWA PESA ZETU ZA KODI,TUNAJENGA BWAWA LA NYERERE KWA PESA ZETU ZA NDANI,WAKANDARASI WAKO SITE, TUNAFANYA HAYA NDUGU ZANGU KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU.TUMECHEZEWA MNO,TUMECHELEWA MNO.
Na hayo maneno yanapambwa na takwimu za gharama zake,ukubwa wake,muda wa kumaliza mradi,tena anayesema ni Raisi wa Jamhuri. Katupata wengi na tulimwamini.R.I.P mjomba Magu.
Na pia kiwango cha ujinga walicho kiingiza vichwani mwa watu ni sawa na maradhi ya yasiyo na Tiba Tungejitambua japo robo haya yasingetokea
 
Alikuwa anakusanya kodi,au alikuwa anaingia kwenye account za watu anapora fedha?
 
Wasimamishe ujenzi.
"Rome was not built in a day"

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Kodi ya Railway Levy haitoshi au kazi yake nini??
Railway Levy inahusisha maingizo ya Magari, je hayo magari yanayoingizwa yanaweza gharamia?
Hujui kwa mwaka magari yanayonunuliwa Tz hayafiki 100000?
 
Huku walisema wanatekeleza kwa cash, leo imekuwaje tena? wapuuzi sn hawa.
Ndicho wanacho maanisha,kwani serikali ina biashara gani kwamba itafanya kwa fedha zake,unapoambiwa hawahitaji kukopa zaidi maana yake pesa hiyo itapatikana kwa njia ya kodi na hiyo ndio maana yapesa zetu wenyewe. Kwa maana nyingine pesa za serikali ni fedha inayotokana na kodi,gawio na tozo hiyo ndio biashara ya serikali.
 
Haswaaa umepiga nakos ya utosi watanzania tulizoeshwa kutembeza bakuri matonya staili,hatupendi kuwajibika kwa maendeleo yetu wenyewe. LAZIMA TULIPIE MAENDELEO YETU HAKUNA NAMNA.
 
Hivi Ni lazima mjenge hio reli yote saivi

Hilo kipande Cha moro dar Hadi leo hakijakamilika bado mnaenda mwaga hela kwengine .

Mtaifanya hii nchi ifilisike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…