Dkt Mwigulu Madelu Nchemba nampa mwaka mmoja tu kama hajahamishwa au kutumbuliwa Wizara ya fedha na uchumi

Ramli tu....

Mwigulu aendelee kumtii mh.Rais na kupiga kazi ambayo ANAAMINIKA......

#KaziIendelee
 
Mwigulu angepewa Wizara ya Mazingira kidogo anaweza kubadilika lakini siyo wizara nyeti kama ya Fedha. Alipewa mambo ya ndani akaburunda, hii tayari ameburunda pesa zinapigwa yeye hajui.
Hivi hapa Mama Samia alishauriwa na nani.
 
Wizara hii inamfaa Prof Adolph Mkenda, aliwahi kuwa Naibu Katibu Mkuu pale kati ya 2011-15
 
Mwigulu Nchemba hawezi kufika September akiwa Waziri wa Fedha. Hana uwezo wa kazi licha ya kuwa na PhD, worse enough ana majibu ya kuharisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…