Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 278
- 255
Wakati Jimbo letu bado halina hadhi!Amekula mema ya nchi vya kutosha
Na ni mke wa mtu ambayo za chini chini zinaeleza kuwa kuna kitu. Mume wake huyo dada ni Mwl wa Chuo huko Darisalama!Mbona anamtomasa tomasa?
Nyie sasa mmekuwa kama traffic police akimpiga dereva mkono lazima apachikwe kosa atake asitake.Mbona anamtomasa tomasa?
Usimtetee kaka! So wewe unaweza ukaruhusu mkeo atomaswe tomaswe hivyo?Nyie sasa mmekuwa kama traffic police akimpiga dereva mkono lazima apachikwe kosa atake asitake.
Tujipange tumbadilishe akimaliza miaka 15 ya ubunge hatakuwa na jipya tena!Kosa halirudiwi tena milele
Litapata wapi hadhi wakati fedha nyingi (kwa mfano mikopo) anazipeleka Zanzibar kwa lengo la kujipendekeza kwa Mmakunduchi (Saa 100)Wakati Jimbo letu bado halina hadhi!
Mambo ya kumpapasa bega tena?Akiongea kwa lugha ya kwetu KiNyiramba bila hata ya aibu Mhe. Mwigulu Nchemba huku akimshika mdada wa watu kamtangaza kuwa huyo mdada aanze kufikiriwa fikiriwa na Wanajimbo katika nafasi. Pamoja na kutotaja nafasi hiyo lkn ishara inaonesha ni nafasi ya Ubunge Mwaka 2030 wakati yeye akigombea URais.
View attachment 2112131
Ila dada mwenyewe hawezi hata kujieleza! Kazi vijembe tu!Na usishangaye huyo dada akaja kurithi Jimbo kweli. Maana majimbo yashageuka kuwa falme za watu. Wadanganyika amkeni.
Imetokea sehemu nyingi
-Samweli Sitta kamruthisha mkewe
-Profesa nani nani huko Iringa aliwahi kuwa waziri wa fedha alipofariki mtoto kapewa Jimbo
Na wengine wengi
Mbaya sana!
[emoji56][emoji56],sawa,, Emanuel NchimbiBaada ya Mmakunduchi ni zamu ya Mkristo lakini sio Mwigulu
Mkilito Nchimbi?[emoji56][emoji56],sawa,, Emanuel Nchimbi
Acha ikae hivyo hivyo!Labda Rais wa Yanga!