Huyu dada namjua niliwahi kumwona Ilala ni Mjasiriamali , akipeewa anafaa kuliko hata Mwigulu mwenyeweAkiongea kwa lugha ya kwetu KiNyiramba bila hata ya aibu Mhe. Mwigulu Nchemba huku akimshika mdada wa watu kamtangaza kuwa huyo mdada aanze kufikiriwa fikiriwa na Wanajimbo katika nafasi. Pamoja na kutotaja nafasi hiyo lkn ishara inaonesha ni nafasi ya Ubunge Mwaka 2030 wakati yeye akigombea URais.
View attachment 2112131
Wanyaturu wanalo! Jamaa anapenda vidosho huyo! Halafu huyo dada nyuma yuko njema sana!Daah anahonga jimbo aiseee
HAKIKAMuda utaongea......
2030 atapata huyu jamaa. Akilipa viwanda vichapishe majina yake kwenye nguo zoooote wanataonunua wanatanzania mbona kura zenu isipokuwa yangu atazipataUrais hapati jamani! Tuache kujilisha upepo!
Jamaa ana ujasiri wa hatari, miamba mpaka leo ina jina lake!2030 atapata huyu jamaa. Akilipa viwanda vichapishe majina yake kwenye nguo zoooote wanataonunua wanatanzania mbona kura zenu isipokuwa yangu atazipata
Hatari sana huyu jamaa ona hapo anashika shika tu muke ya mutu bila kujali! Aliambukizwa na aliyeenda zakeJamaa ana ujasiri wa hatari, miamba mpaka leo ina jina lake!
Ametafuna rushwa za kutoshaAmekula mema ya nchi vya kutosha
Atawanunulia kipumu wanyiramba wamchagueIla dada mwenyewe hawezi hata kujieleza! Kazi vijembe tu!
Ulitaka aone aibu kuongea lugha yake ya kuzaliwa? Wewe huwa unaona aibu kuongea lugha yako ya kuzaliwa? Kwa nini?Akiongea kwa lugha ya kwetu KiNyiramba bila hata ya aibu Mhe. Mwigulu Nchemba huku akimshika mdada wa watu kamtangaza kuwa huyo mdada aanze kufikiriwa fikiriwa na Wanajimbo katika nafasi. Pamoja na kutotaja nafasi hiyo lkn ishara inaonesha ni nafasi ya Ubunge Mwaka 2030 wakati yeye akigombea URais.
View attachment 2112131
Mleta uzi yupo sahihi - kwenye mikutano ya kisiasa kama hiyo hupaswi kuongea kilugha kwani unaweza kuleta tafsiri unausema vibaya uongozi wa juu yako! Kuwa makini!Ulitaka aone aibu kuongea lugha yake ya kuzaliwa? Wewe huwa unaona aibu kuongea lugha yako ya kuzaliwa? Kwa nini?
Ndiyo kaongea hivyo kwani?Inamaana huyu baba yeye keshaona njia iko wazi kwake kuingia magogoni
Wanyaturu wanalo! Jamaa anapenda vidosho huyo! Halafu huyo dada nyuma yuko njema sana!
Acha ikae hivyo hivyo Babati!Atawanunulia kipumu wanyiramba wamchague
Jamaa anajua udhaifu waoAcha ikae hivyo hivyo Babati!