Kikwete nae akamrisisha jimbo mwanae!!Na usishangaye huyo dada akaja kurithi Jimbo kweli. Maana majimbo yashageuka kuwa falme za watu. Wadanganyika amkeni.
Imetokea sehemu nyingi
-Samweli Sitta kamruthisha mkewe
-Profesa nani nani huko Iringa aliwahi kuwa waziri wa fedha alipofariki mtoto kapewa Jimbo
Na wengine wengi
Aseee! Acha ikae hivyo hivyo!Kikwete nae akamrisisha jimbo mwanae!!
Nchi inaongozwa na wahuni!Aseee! Acha ikae hivyo hivyo!
Ila huyu binti hana hata undugu na Mwigullu ingawa ni Mnyiramba. tena binti kaolewa na Mkabila ni Mwal wa Chuo huko DarKikwete nae akamrisisha jimbo mwanae!!
Anamtomasa vibaya mnoo!
Hahaha ccm mbere kwa mbereAkiongea kwa lugha ya kwetu KiNyiramba bila hata ya aibu Mhe. Mwigulu Nchemba huku akimshika mdada wa watu kamtangaza kuwa huyo mdada aanze kufikiriwa fikiriwa na Wanajimbo katika nafasi. Pamoja na kutotaja nafasi hiyo lkn ishara inaonesha ni nafasi ya Ubunge Mwaka 2030 wakati yeye akigombea URais.
View attachment 2112131
Ccm ni ile ile my brodaaMbona anamtomasa tomasa?
Kwamba tutakufa na miwivu?Huyo mwanamke umemuona akilalamika? Au nyie tu na wivu zenu? Muache mwenzio apige vyombo
Mbele kwa mbele!Ccm ni ile ile my brodaa
Ataj ... cheche!Ngoja amsikie mwenye hicho kiti anachokinyemelea. Any way akaandike tena mawe yamchague tena
Mhuni fulani bado ana ndoto za URaisAkiongea kwa lugha ya kwetu KiNyiramba bila hata ya aibu Mhe. Mwigulu Nchemba huku akimshika mdada wa watu kamtangaza kuwa huyo mdada aanze kufikiriwa fikiriwa na Wanajimbo katika nafasi. Pamoja na kutotaja nafasi hiyo lkn ishara inaonesha ni nafasi ya Ubunge Mwaka 2030 wakati yeye akigombea URais.
View attachment 2112131