Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Usiwe na wasi wasi mzee; kuna Ph.D na Ph.D, na unaweza kupata mojawapo au nyingine.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao ndo wanaotoa elimu ya walipa kodi?
Mi ndio maana sionagi sababu ya kusoma mpaka nipate PhD maana hata wenye nazo naonaga hawaeleweki nahisi kuna uchawi huko kwenye elimu za juu
Unaweza kuwa na Ph.D ya Dr. Remmy Ongara au Ph.D ya Dr. Henry Kissinger