Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa inategemea unaoishi nao wako vpSasa mtoto anaishi nyumba ya kupanga na katika hiyo nyumba chumba kumoja mama mwenye nyumba ana baa bubu na mziki ni 24 hours.
kweli kabisaViongozi wa Tanzania wana Ujinga Mwingi Sana vichwani Mwao
Hahahaa! Tanzania bila kuchezeana akili haiwezekani.Mwigulu angepewa wizara ya michezo..
Sasa elimu ya Kodi na Hamisa Mobetto?
Huu ni ujinga kwa hiyo mtu akifanya ujinga wake kwa kuwa ni kiongoz tutii bas??Heeee haya ni ya kweli Mh Mwigu? Mbona unatuweka pabaya jamaa yangu?
Enewei tutii mamlaka yaliyo juu yetu.
Wanaelimisha nini?Mama alisema watu/Wafanyabiashara waachwe wasibuguziwe,walipe kodi watakavyo jisikia,hata mapato yakishuka yatakujaga kupanda,wakiaanza kulipa kwa hiyari,😃😃😃Acha kudharau na kuharibu ugali wa wenzio. Kwa taarifa yako, Misa alifaulu darasa la saba na kusoma sekondari ya serikali. Ana akili kuliko wewe, hawezi shindwa kuamwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wa kulipa kodi kwa maendeleo ya taifa lao.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya uteuzi wa watu mbalimbali watakaotoa elimu ya mlipa kodi kwa Watanzania wakiwemo
Mbwana Samata, Edo Kumwembe na Hamisa Mobeto.
View attachment 1826377
Mi 10 tena kwa motherIla Tanzania tunachekesha sana sana! Basi wacha nikae kimya
Usanii unapoingizwa kwenye mambo ya msingi tutarajie anguko. Hata kama ni mpango mkakati lakini sio hivi..! Niliona na Kaka yangu Jaffo amewachagua mabalozi wa mazingira hao hao wanaoitwa wasanii. Sijaona walichokifanya mpaka sasa tangu amewatangazaView attachment 1826481
Hamisa atatuelezea kuhusu double taxation of tax,tax evasion,tax avoidance,direct and indirect tax,why VAT bara is different from Zenji na mengine mengi wakisaidiana na Samatha na Mtangazaji maarufu wa Michezo
Thread closednyie mnaopinga hapo juu mnajielewa? Wewe uliyesoma upo mbwinde huko na mbwana samatta au edo kumwembe nani ana fan base kubwa na anaweza kusikilizwa akihamasisha kodi?
Mchukue diamond akafundishe dini si ana fan base kubwanyie mnaopinga hapo juu mnajielewa? Wewe uliyesoma upo mbwinde huko na mbwana samatta au edo kumwembe nani ana fan base kubwa na anaweza kusikilizwa akihamasisha kodi?