Dkt. Mwigulu Nchemba ateua wadau watakaotoa elimu ya mlipa kodi; wamo Hamisa Mobetto, Edo Kumwembe na Mbwana Samatta

Dkt. Mwigulu Nchemba ateua wadau watakaotoa elimu ya mlipa kodi; wamo Hamisa Mobetto, Edo Kumwembe na Mbwana Samatta

Wakati mwingine unawaza hivi viongozi wetu wanatumia akili zao au kuna kiungo mbadala wanakitumia kufikiria tofauti na kichwa.....??
Sikia Hii
Nchi Ina Wajinga Wengi Sana
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya uteuzi wa watu mbalimbali watakaotoa elimu ya mlipa kodi kwa Watanzania wakiwemo

Mbwana Samata, Edo Kumwembe na Hamisa Mobeto.

View attachment 1826377
hahahahah Hapa msukuma ndipo anapo pataga credit na kuwaponda wasomi....... Hivi kwanini hii kazi wasipewe vijana wa cha kodi hapo mwenge waka ambatana na wasanii wakawa hamasisha watu umuhimu wa kulipa kodi.... aiseee hii haijakaa vyema kabisa
Amekosa vijana waliosoma uchumi udsm?.

Amekosa wafanyabiashara wa kati wenye influence kwenye jamii

Ata Mimi anganiteua hii kazi ningeifanya vizuri sana maana nalipa kodi kwa mwaka sio chini ya million 50.
 
Usifananishe degree holder na huyo form four failure wa Tandale Secondary School! Jokate was a learnt sister ambaye baba yake alishahudumu katika system so ana ka exposure flani !
Sometimes elimu sio kigezo tosha cha kupima uelewa na ufahamu wa mtu. kuna wasomi kibao mfano viongozi wetu wenye elimu kubwa kubwa lakini when it comes to discernment unaweza sema afadhari ya darasa la tatu B
 
Nyie mnaopinga hapo juu mnajielewa? Wewe uliyesoma upo mbwinde huko na mbwana samatta au edo kumwembe nani ana fan base kubwa na anaweza kusikilizwa akihamasisha kodi?
Watu hawaelewi kwamba apo ameangalia watu wenye fan base kubwa kuna watu kwa kuona sura ya mobeto watalipa kodi bila shuruti

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewateua Mbwana Samatta, Hamisa Mobeto na Edo Kumwembe kuwa mabalozi wa kuhamasisha ulipaji kodi. Mbali na hao amewateua wanasiasa wengine kuwa mabalozi wa elimu ya kodi, ili kuhakikisha wananchi wanalipa kodi bila kushurutishwa.

View attachment 1826511
Mbwana Samatta

View attachment 1826514
Hamisa Mobetto

View attachment 1826517
Edo Kumwembe
Hii ndo nimewahi kuisemea. Kuna watu wajinga kiasi kwamba hata kujinyonga hawawezi! Mwigulu anasemekana ana PhD. PhD inaweza kuwa kwenye kichwa kibovu kiasi hiki? Ni tatizo sana.

Yaani aonavyo hao ni wawakilishi wa mlipa kodi wa maana nchi hii? Au alimaanisha mabalozi wa elimu ya usanii? Vijana wapende michezo na usanii.
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewateua Mbwana Samatta, Hamisa Mobeto na Edo Kumwembe kuwa mabalozi wa kuhamasisha ulipaji kodi. Mbali na hao amewateua wanasiasa wengine kuwa mabalozi wa elimu ya kodi, ili kuhakikisha wananchi wanalipa kodi bila kushurutishwa.

=========

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya uteuzi wa watu mbalimbali watakaotoa elimu ya mlipa kodi kwa Watanzania wakiwemo

Mbwana Samata, Edo Kumwembe na Hamisa Mobeto.

View attachment 1826377
Hawa wana utaalam gani wa kuelimisha wananchi masuala ya kodi? Nonsense!

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Wakati mwingine unawaza hivi viongozi wetu wanatumia akili zao au kuna kiungo mbadala wanakitumia kufikiria tofauti na kichwa.....??
Naamini ni njia ya umalaya tu! Wanawahonga mabinti ili watafute mahusiano. Tumerudi enzi za kuambiwa ndege ya serikali imemfuata hawala wa kiongozi. Au kiongozi anaelekea Mwanza kukutana na hawala yake. Shame!
 
Hapo siasa tupu..
Masuala ya kikodi Yana uwanja mpana..
Kuna accounting&auditing firms, accounting orgs sanjali na tax consultants kwa kushirikiana na TRA ndiyo wenye mamlaka kwa kazi hiyo..

Hao wasanii sasa???
 
Watu hawaelewi kwamba apo ameangalia watu wenye fan base kubwa kuna watu kwa kuona sura ya mobeto watalipa kodi bila shuruti

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Kwenye hiyo fan base yake walipakodi ni asilimia ngapi?

Ujue targeted group siyo mtu yeyote bali mlipakodi.
Sasa ni walipakodi wangapi wako kwenye hiyo fan base yake?
 
Wakuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huenda Hamisa ana diploma ya taxation. When it comes to putting right people at right places, tunapata kigugumizi...huu ni ugonjwa wa Afrika
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewateua Mbwana Samatta, Hamisa Mobeto na Edo Kumwembe kuwa mabalozi wa kuhamasisha ulipaji kodi. Mbali na hao amewateua wanasiasa wengine kuwa mabalozi wa elimu ya kodi, ili kuhakikisha wananchi wanalipa kodi bila kushurutishwa.

=========

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya uteuzi wa watu mbalimbali watakaotoa elimu ya mlipa kodi kwa Watanzania wakiwemo

Mbwana Samata, Edo Kumwembe na Hamisa Mobeto.

View attachment 1826377


Jipu linaanza mdogomdogo kama ilivyokuwa kwa kigwangallah. Miaka ya mbele CAG atakuja kufukua makaburi tuwe na subirs tu.


Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amebainisha matumizi mabaya ya fedha za umma ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii iliyokuwa inaongozwa na Dk Hamisi Kigwangalla.

Kigwangalla alikuwa waziri katika wizara hiyo kuanzia Oktoba 7, 2017 hadi Novemba 2020 na Rais wa tano, Hayati John Magufuli hakumrudisha katika baraza lake la mawaziri.

Akiwa Waziri, Kigwangalla alianzisha tamasha la urithi pamoja na shindano la kupanda Mlima Kilimanjaro, lengo likiwa ni kuhamasisha utalii nchini sambamba na watu kupanda mlima huo mrefu Afrika.

Hata hivyo, CAG alieleza katika ukaguzi wake alibaini matumizi ya fedha yaliyo kinyume na sheria, huku akibainisha Kigwangalla aliagiza taasisi zilizo chini ya wizara yake kuchangia fedha kwa ajili ya tamasha hilo.

Kigwangalla alipoulizwa suala hilo alielekeza aulizwe Profesa Adolf Mkenda, ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakati akiwa waziri
 
Back
Top Bottom