Dkt. Mwigulu Nchemba ateua wadau watakaotoa elimu ya mlipa kodi; wamo Hamisa Mobetto, Edo Kumwembe na Mbwana Samatta

Dkt. Mwigulu Nchemba ateua wadau watakaotoa elimu ya mlipa kodi; wamo Hamisa Mobetto, Edo Kumwembe na Mbwana Samatta

Mkuu Watu wanalipa Kodi Kwa Kuwa Influenced? How Comes? Hili la Mobeto, Kumwembe, Samata Ni Aibu Sana Kwa Vijana wanaosota Vyuoni Wakisomea Kodi. Tungekua Na Viongozi ambao Wako Serious na Majukumu yao, Hizi Nafasi zingeshindaniwa na wanafunzi IFM, TIA, CBE, nk
Sijapinga wataalamu wasiajiriwe na kuwepo kwa hawa watu watatu hakujazuia wataalam kuajiriwa
Mtaalamu aliyetoka chuo atakaa wapi ili atoe elimu kwa maelfu ya watu kwa wakati mmoja au atembelee ofisi kwa ofisi mpaka lini?
Hamisa akipost siku moja watu laki mbili wameona
kazi ni lazima ihusishe watu wa aina mbalimbali hawa pia wana nafasi yao
Kazi zinategemeana huwezi kuhitaji wataalam tu ushawishi pia unatakiwa

Radio station nyingi siku hizi haziangalii sana taaluma bali ushawishi lengo lao ni biashara zaidi watu wasio na taaluma za utangazaji huajiriwa kwa kuwa tu wanavutia wasikilizaji wengi lakini nyuma yao kuna watu wenye taaluma

Makampuni huandaa matamasha na kualika wasanii kufanya show na kuwalipa hela nyingi kwa sababu gani ushawishi walio nao kuwavutia watu kutumia bidhaa zao
Mambo siyo magumu kiasi hicho dunia imekuwa rahisi sana msishupaze shingo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
TRA wana kitengo cha elimu kwa mlipa kodi, ina maana hicho kitengo kimekufa au wao watakuwa wanafanya kazi gani kama elimu ya kwa mlipa kodi itatolewa na Mobeto na wenzake
 
TRA wana kitengo cha elimu kwa mlipa kodi, ina maana hicho kitengo kimekufa au wao watakuwa wanafanya kazi gani kama elimu ya kwa mlipa kodi itatolewa na Mobeto na wenzake
Hata Mm Nashangaa Mkuu, Why kusiwe na club kwenye vyuo vya Kodi kuelimisha walipa kodi? Why kusiwe na mashindano ya kubuni hamasa ya ulipaji kodi kutoka vyuo vya Kodi?
......
Tena hawa sasa ni double coast waelimishwe then ndo wakaanze kuelimisha
......
Kmsningi Sio Kwamba Watu Hawalipi Kodi Bali Hyo Kodi Yenyewe Kuna Wakati Sio Rafiki Kuna mambo kadhaa;
- Makadirio ya kodi hufanywa kabla ya biashara kuanza, Kodi inakuwa si halisi
-Biashara zimeyumba, tunaishia kulipa Kodi ya serikali, pango, leseni na watumishi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah Ina maana TRA hawawezi kazi[emoji1]

Nchi Ina vituko sana hii

Kuna wako pale TRA ndio kazi Yao naona wanatengenesa mianyq ya upigaji Kama kingwangala
 
Wafanyabiashara Wanahitaji Elimu Ya Kulipa Kodi, Kwamba Leo Nikilipa Kodi Hyo Kodi Yangu Itaenda Kufanya 1,2,3 Wala Business Tycoons Hawahitaki Kuwa Influenced na Msanii au Mpiga Soga Za Sipotisi Maredioni. Shida Yenu Watu wakija na Hoja Za Msingi Nyie Mnakimbilia Kusema Watu Wanahasra Kwa Sababu YaTeuzi Za Udisii
Makundi yote ya watu wanalipa kodi siyo hao tycoon wa biashara tu kuna kundi litafikiwa kupitia hao wapiga soga

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao ndo wanaotoa elimu ya walipa kodi?

Mi ndio maana sionagi sababu ya kusoma mpaka nipate PhD maana hata wenye nazo naonaga hawaeleweki nahisi kuna uchawi huko kwenye elimu za juu
PhD ya mwingulu haina faida yeyote
 
Makundi yote ya watu wanalipa kodi siyo hao tycoon wa biashara tu kuna kundi litafikiwa kupitia hao wapiga soga

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kwa mfano pale TAA lilianzishwa DAWATI la mhasibu, ni wazo walilolianzisha kwa kushirikiana na wataalam wa uhasibu na ukaguzi..
.....
Inaandaliwa events pale viwanja vya mnazi mmoja kwa msaada wa wadhamini na wanafanya matangazo ya gari mitaani then nafanyika mentorship program ya elimu ya kodi na utunzaji wa hesabu za biashara..

Kunakuwa na wataalam wa fani tofauti tofauti Uchumi, tax consultants, accountants & auditors wanatoa elimu pale viwanja vya mnazi mmoja bure.
 
Lakini Mobeto Yuko marekani jamani anajua mambo mengi sana tusimpuuze.
 
Swala la kulipa linahusisha watu serious coz ndio uti wa mgongo wa taifa hili,,,

Serikali chukulieni serious hili swala,, Wafanyabiashara hawaezi hamasika kulipa kodi kisa tako la mobetto...

Sio kila sekta lazima iwe na mabalozi wa kuitangaza kama utalii
 
nchi za watu ambao akili zinafanya kazi, huwa kila kukicha wanapambana kuhakikisha watu wao hawalipi kodi baadala yake wanatumia akili nyingi kuutilize resources walizonazo na kufanya raia wa nchi nyingine watumwa na kuwaacha watu wao wakifaidi matunda ya rasilimali zao huku wakisoma kila mahala duniani na kuhakikisha wanamiliki mabiashara makubwa au kuwa na hisa..
 
Sasa kama unateua kina mobeto, kumwembe, samata eti wawe mabalozi wa kutoa elimu ya mlipa kodi hivi hili taifa tupo serious kweli?

Au ndo kutengeneza mazingira ya kuwa hii pesa ilipita kule

Kuna vijana wangapi pale chuo cha Kodi wanahii elimu na wapo tuu mtaani wamekaa?

Kuna wafanyabiashara wangapi Ni walipa kodi wazuri kila mwaka kwanini hawa wasiwe mabalozi wa kuwapa elimu watu wanaowaudumuia?

Hao waliotajwa wanarekodi gani za uaminifu wa kulipa Kodi isije ikawa wakikaguliwa watagundulika sio waaminifu kwenye kulipa Kodi?

Hapa ndo utaona umuhimu wa kupata kiongozi aina ya Magufuli yan kuna mengi ya hivyo Sana.
 
Hamisa bobeto?Mwigulu kazingua.
Bora ningeajiliwa Mimi kwenye hicho kitengo Cha uhamasishaji watu kulipa Kodi,Mimi mwalimu ningeweza lakn siyo mcheza mpira,bongo movie na wapombwende!!!

Kwa hapa simuungi mkono Mwigulu Nchemba
 
Back
Top Bottom