Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutahamishiwa BurundiJamaa wanatengeneza makubaliano kuwa mwaka 2030 wakati Dr. Lameck Madelu Mwingulu Nchemba anakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bwana Ally Happy anakuwa Mbunge wa Iramba na anateuliwa kuwa Waziri
Wana uhakika hata wa kumaliza mwaka huu wakiwa hai?Jamaa wanatengeneza makubaliano kuwa mwaka 2030 wakati Dr. Lameck Madelu Mwingulu Nchemba anakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bwana Ally Happi anakuwa Mbunge wa Iramba na anateuliwa kuwa Waziri.
+ Happy wote ni hatari na majangili tupuMwingulu ni hatar sana kwa ustawi wa nchi hata huu unaosua sua.
Ni mashirikina balaa yatakaa sn hapa dunianiWana uhakika hata wa kumaliza mwaka huu wakiwa hai?
Rais Mwigulu NchembaJamaa wanatengeneza makubaliano kuwa mwaka 2030 wakati Dr. Lameck Madelu Mwingulu Nchemba anakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bwana Ally Happi anakuwa Mbunge wa Iramba na anateuliwa kuwa Waziri.
Umeandika vema!!Wana uhakika hata wa kumaliza mwaka huu wakiwa hai?
Ataanza kuandika kwenye mawe tena. Mwishowe anakuwa Rais wa Mawe!Rais Mwigulu Nchemba
Kila kitu ni kwa kudra za Mwenyezi Mungu!Umeandika vema!!
2030 tunakwenda na Dr MadeluJamaa wanatengeneza makubaliano kuwa mwaka 2030 wakati Dr. Lameck Madelu Mwingulu Nchemba anakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bwana Ally Happi anakuwa Mbunge wa Iramba na anateuliwa kuwa Waziri.
Halafu Iramba wataenda na Happy ati!2030 tunakwenda na Dr Madelu
!2030 tunakwenda na Dr Madelu
Chonde chonde msije mkamfanyia ya JiweInaweza ikawa ndiyo Mwaka Mwigulu atapoteza hadi ubunge
!
Kwani bado anautaka?Inaweza ikawa ndiyo Mwaka Mwigulu atapoteza hadi ubunge
!