Waziri wetu wa Fedha, Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Mchumi Daraja la Kwanza nikiwa na maana kuwa alipata First Class katika shahada yake ya kwanza kutoka UDSM .Ufaulu ambao ni wa juu sana na ambao siyo lelemama kuupata hasa kutoka viunga vya UDSM.Na ndio maana alipata nafasi ya kufanya kazi BOT na ambaye wengi hupenda kumwita Mr Clean, kutokana na uadilifu wake pamoja na uzalendo wake kwa Taifa letu.
Ameonyesha kusikitika na kusikitishwa sana na malalamiko ya watanzania mitandaoni yasiyo na msingi wala ukweli. Ametolea mfano kuwa anasikitika sana pale anapoona hata anapoposti picha ya mwanae na kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa, wanatokea watu wanasema "Ameshiba" Dola Zao.
Your browser is not able to display this video.
,
Akasema kuwa, sijui wapi ambako mwanae anakutana na hizo Dola. Amewataka watanzania kuwa wazalendo kwa Taifa letu nakupenda vitu vinavyozalishwa na viwanda vyetu vya ndani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
🤔🤔🤔🤔🤔😂😂😂😂😂Mwigulu,mbona ameuliza swali jepesi sana?Aliwahi kuona wapi chakula kinaitwa dola?Anaelewa ku-personoficate,ku-animate nk?Ukinunua Yutong kwa dola laki mbili na nusu hapa Tanzania utasema umenunua Yutong Tsh.550 mln.Na baadaye unaendelea kubadilisha hivyohivyo hadi unapata sahani ya wali nyama wa Tsh.4000.Lakini,yote yametoka/yameanzia kwenye dola.
🤔🤔🤔🤔🤔😂😂😂😂😂Mwigulu,mbona ameuliza swali jepesi sana?Aliwahi kuona wapi chakula kinaitwa dola?Anaelewa ku-personoficate,ku-animate nk?Ukinunua Yutong kwa dola laki mbili na nusu hapa Tanzania utasema umenunua Yutong Tsh.550 mln.Na baadaye unaendelea kubadilisha hivyohivyo hadi unapata sahani ya wali nyama wa Tsh.4000.Lakini,yote yametoka/yameanzia kwenye dola.
Ye kajuaje? Kwanza unaongea kwa uchungu ukiwa wapi?
Viongozi wajifunze kuweka watoto mbali na politiki vinginevyo watajumuishwa wote na kashfa za baba zao
Waziri wetu wa Fedha, Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Mchumi Daraja la Kwanza kutoka UDSM na aliyewahi kufanya kazi BOT na ambaye wengi hupenda kumwita Mr Clean, kutokana na uadilifu wake pamoja na uzalendo wake kwa Taifa letu.
Ameonyesha kusikitika na kusikitishwa sana na malalamiko ya watanzania mitandaoni yasiyo na msingi wala ukweli. Ametolea mfano kuwa anasikitika sana pale anapoona hata anapoposti picha ya mwanae na kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa ,wanatokea watu wanasema Ameshiba Dola Zao.
Akasema kuwa sijuwi wapi ambako mwanae anakutana na hizo Dola. Amewataka watanzania kuwa wazalendo kwa Taifa letu nakupenda vitu vinavyozalishwa na viwanda vyetu vya ndani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucka we sifia tu umeona toto la Mwigulu shavu kama paja lako sasa we sifia sifia tu watoto wenyewe wamekushinda kulea umewapeleka kwa bibi yao Katavi huko
Huyu amebaki kusifiasifia wengine utafikiria yeye sio binadamu jamaa lifala sana angekuwa ndugu yangu ningemwekea sumu kwenye chakula afe manake angekuwa anadhalilisha tu familia kule India hii wanaita honor killing
Huyu amebaki kusifiasifia wengine utafikiria yeye sio binadamu jamaa lifala sana angekuwa ndugu yangu ningemwekea sumu kwenye chakula afe manake angekuwa anadhalilisha tu familia kule India hii wanaita honor killing
Kwa kweli tunatakiwa kuwaonea huruma wazazi wa Lucas Muwasha Mbwa. Ukisikia mtoto huyu siyo riziki, ndiye huyu. Kila mzazi hutegemea mwanae atakuwa mwerevu, mwenye akili timamu, mchapakazi, mwenÿe busara na mwenye kujitambua, LAKINI ukweli haiwi hivyo. Ukiwa na bahati mbaya unaishia kupata mtoto wa namna ya Lucas Muwasha Mbwa, mtu ambaye hajui hata thamani ya utu na ubinadamu wake. Yupo tayari kusifia hata kinyesi cha mtawala, lakini hata siku moja hawezi kumheshimu hata mzazi wake kwa kufanya mambo yatakayomfanya mazazi wake ajivunie kwa kuwa na mtoto mwenye uelekeo badala ya kuwa chawa mnafiki asiyejitambua.