EEM M
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 459
- 937
Nilivoona intro ya huu uzi nikajua tu CHAWA PRO MAX ULTRA Lucas Mwashambwa ndo kaandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Mwigu ni Mr clean, basi hakuna atakayekosa kwenda mbinguni.Acheni kumchafua mr clean Mzalendo wa kweli kwa Taifa letu
Ukimjua mmliki wa kampuni ya mabus ya Easther Luxury uje uendelee kumpamba kuwa ni mr clean.Acheni kumchafua mr clean Mzalendo wa kweli kwa Taifa letu
Kwa kweli tunatakiwa kuwaonea huruma wazazi wa Lucas Muwasha Mbwa. Ukisikia mtoto huyu siyo riziki, ndiye huyu. Kila mzazi hutegemea mwanae atakuwa mwerevu, mwenye akili timamu, mchapakazi, mwenÿe busara na mwenye kujitambua, LAKINI ukweli haiwi hivyo. Ukiwa na bahati mbaya unaishia kupata mtoto wa namna ya Lucas Muwasha Mbwa, mtu ambaye hajui hata thamani ya utu na ubinadamu wake. Yupo tayari kusifia hata kinyesi cha mtawala, lakini hata siku moja hawezi kumheshimu hata mzazi wake kwa kufanya mambo yatakayomfanya mazazi wake ajivunie kwa kuwa na mtoto mwenye uelekeo badala ya kuwa chawa mnafiki asiyejitambua.
👏👏Nilivoona intro ya huu uzi nikajua tu CHAWA PRO MAX ULTRA Lucas Mwashambwa ndo kaandika
Ndugu zangu Watanzania,
Waziri wetu wa Fedha, Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Mchumi Daraja la Kwanza kutoka UDSM na aliyewahi kufanya kazi BOT na ambaye wengi hupenda kumwita Mr Clean, kutokana na uadilifu wake pamoja na uzalendo wake kwa Taifa letu.
Ameonyesha kusikitika na kusikitishwa sana na malalamiko ya watanzania mitandaoni yasiyo na msingi wala ukweli. Ametolea mfano kuwa anasikitika sana pale anapoona hata anapoposti picha ya mwanae na kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa, wanatokea watu wanasema "Ameshiba" Dola Zao.
Akasema kuwa, sijui wapi ambako mwanae anakutana na hizo Dola. Amewataka watanzania kuwa wazalendo kwa Taifa letu nakupenda vitu vinavyozalishwa na viwanda vyetu vya ndani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Pia, Soma: Matokeo ya uchaguzi CCM chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara
Umewahi kumsikia kwenye kashifa yoyote ile ikimgusa mr clean Daktari Mwigulu Lameck Nchemba?Kama Mwigu ni Mr clean, basi hakuna atakayekosa kwenda mbinguni.
Nipo kuwahabarisheninilichogundua ndgu lucas yupo kazini
Amevunja sheria ipi?Akili za kitoto,kwanini anampost mtoto kwenye mitandao ya kijamii? Huyu hafai kuwa kiongozi
Anampost mtoto ambae Hana maamuzi ya kupost au kutopost picha mitandaoniAmevunja sheria ipi?
Lipeni pesa za wakandarasi.Ndugu zangu Watanzania,
Waziri wetu wa Fedha, Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Mchumi Daraja la Kwanza kutoka UDSM na aliyewahi kufanya kazi BOT na ambaye wengi hupenda kumwita Mr Clean, kutokana na uadilifu wake pamoja na uzalendo wake kwa Taifa letu.
Ameonyesha kusikitika na kusikitishwa sana na malalamiko ya watanzania mitandaoni yasiyo na msingi wala ukweli. Ametolea mfano kuwa anasikitika sana pale anapoona hata anapoposti picha ya mwanae na kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa, wanatokea watu wanasema "Ameshiba" Dola Zao.
Akasema kuwa, sijui wapi ambako mwanae anakutana na hizo Dola. Amewataka watanzania kuwa wazalendo kwa Taifa letu nakupenda vitu vinavyozalishwa na viwanda vyetu vya ndani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Pia, Soma: Matokeo ya uchaguzi CCM chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara
Ni hatari sana kuingiza Watoto kwenye SiasaAcheni kumchafua mr clean Mzalendo wa kweli kwa Taifa letu
Acheni porojo na wivu wenu wa kitoto kwa Mr CleanKwani dola anazosajilia wachezaji wa Singida black star na kUWALIPA mishahara makocha na wachezaji wa kigeni zinatoka wapi.
Mungu akusamehe sanaHuyu amebaki kusifiasifia wengine utafikiria yeye sio binadamu jamaa lifala sana angekuwa ndugu yangu ningemwekea sumu kwenye chakula afe manake angekuwa anadhalilisha tu familia kule India hii wanaita honor killing
Kazi ni kipimo cha utu.Tufanyeni kazi na siyo kuoneana wivu wa kijinga jinga tu utafikiri ndio maendeleo.Watu Wana hasira na maisha ya kifala haya ya kulipishwa Kodi za ajabu