Dkt. Mwigulu Nchemba: Nikimposti mwanangu mnasema "kameshiba dola zetu hako"; kanakutana nazo wapi?

Dkt. Mwigulu Nchemba: Nikimposti mwanangu mnasema "kameshiba dola zetu hako"; kanakutana nazo wapi?

Eti ukipata first class kwa kukariri madesa unakuwa una akili sana
Tanzania bhana kazi ipo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Waziri wetu wa Fedha, Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Mchumi Daraja la Kwanza nikiwa na maana kuwa alipata First Class katika shahada yake ya kwanza kutoka UDSM .Ufaulu ambao ni wa juu sana na ambao siyo lelemama kuupata hasa kutoka viunga vya UDSM.Na ndio maana alipata nafasi ya kufanya kazi BOT na ambaye wengi hupenda kumwita Mr Clean, kutokana na uadilifu wake pamoja na uzalendo wake kwa Taifa letu.

Ameonyesha kusikitika na kusikitishwa sana na malalamiko ya watanzania mitandaoni yasiyo na msingi wala ukweli. Ametolea mfano kuwa anasikitika sana pale anapoona hata anapoposti picha ya mwanae na kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa, wanatokea watu wanasema "Ameshiba" Dola Zao.


Akasema kuwa, sijui wapi ambako mwanae anakutana na hizo Dola. Amewataka watanzania kuwa wazalendo kwa Taifa letu nakupenda vitu vinavyozalishwa na viwanda vyetu vya ndani.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Pia, Soma: Matokeo ya uchaguzi CCM chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara
Kwa wanaotafuta maisha waache kutumia juhudi wamtafute mganga wa mwigulu watatoboa
 
Kama ni rahisi kupata First Class basi na wewe nenda ukakariri ili upate.
We kilaza unajua academic credentials zangu...au umekariri kuwa wanasiasa wenye phd za mchongo na degree za economics ma political science plus uchawi ndo vichwa..
 
We kilaza unajua academic credentials zangu...au umekariri kuwa wanasiasa wenye phd za mchongo na degree za economics ma political science plus uchawi ndo vichwa..
Sizani kama umefika hata secondary.maana naona itakuwa umeishia huko vidudu na kubakia na umbumbumbu wako kichwani
 
Vi
Sizani kama umefika hata secondary.maana naona itakuwa umeishia huko vidudu na kubakia na umbumbumbu wako kichwani
hhah haha
Sasa unataka nishuke katika level zako za upumbavu ili unishinde kwa uzoefu
ENDELEA NA KAZI YAKO YA UCHAWA KAKA
HUENDA UKAKUMBUKWA
 
Ndugu zangu Watanzania,

Waziri wetu wa Fedha, Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Mchumi Daraja la Kwanza nikiwa na maana kuwa alipata First Class katika shahada yake ya kwanza kutoka UDSM .Ufaulu ambao ni wa juu sana na ambao siyo lelemama kuupata hasa kutoka viunga vya UDSM.Na ndio maana alipata nafasi ya kufanya kazi BOT na ambaye wengi hupenda kumwita Mr Clean, kutokana na uadilifu wake pamoja na uzalendo wake kwa Taifa letu.

Ameonyesha kusikitika na kusikitishwa sana na malalamiko ya watanzania mitandaoni yasiyo na msingi wala ukweli. Ametolea mfano kuwa anasikitika sana pale anapoona hata anapoposti picha ya mwanae na kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa, wanatokea watu wanasema "Ameshiba" Dola Zao.


Akasema kuwa, sijui wapi ambako mwanae anakutana na hizo Dola. Amewataka watanzania kuwa wazalendo kwa Taifa letu nakupenda vitu vinavyozalishwa na viwanda vyetu vya ndani.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Pia, Soma: Matokeo ya uchaguzi CCM chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara
Huyu akipata urais atakuja na zile hulka za kibabe za kunyanyasa raia. Mungu anapomnyima mtu nafasi anayoota kuipata anakuwa akiliepusha taifa zima na matatizo ambayo yangeweza kutokea katika uongozi wake.

Mungu huwa hakosei hata kidogo.
 
Huyu akipata urais atakuja na zile hulka za kibabe za kunyanyasa raia. Mungu anapomnyima mtu nafasi anayoota kuipata anakuwa akiliepusha taifa zima na matatizo ambayo yangeweza kutokea katika uongozi wake.

Mungu huwa hakosei hata kidogo.
Mr clean Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba ni mtu Mwenye huruma , upendo,utu na ukarimu wa hali ya juu sana.hivi unafahamu ya kuwa Mr Clean anasomesha na kuwalipia ada na mahitaji mengine wanafunzi wengi sana wasio na uwezo? Naposema ada unaweza ukauliza analipaje ada wakati Elimu ni bure?

Jibu ni kuwa anaweza Mwambia Mwanafunzi achague shule yoyote ile anayoitaka na yeye analipia ada yote . Huyo ndio Mr Clean na moyo wake wa upendo na huruma kwa watu.
 
🤔🤔🤔🤔🤔😂😂😂😂😂Mwigulu,mbona ameuliza swali jepesi sana?Aliwahi kuona wapi chakula kinaitwa dola?Anaelewa ku-personoficate,ku-animate nk?Ukinunua Yutong kwa dola laki mbili na nusu hapa Tanzania utasema umenunua Yutong Tsh.550 mln.Na baadaye unaendelea kubadilisha hivyohivyo hadi unapata sahani ya wali nyama wa Tsh.4000.Lakini,yote yametoka/yameanzia kwenye dola.
Lucas analifahamu hiliii?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Waziri wetu wa Fedha, Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Mchumi Daraja la Kwanza nikiwa na maana kuwa alipata First Class katika shahada yake ya kwanza kutoka UDSM .Ufaulu ambao ni wa juu sana na ambao siyo lelemama kuupata hasa kutoka viunga vya UDSM.Na ndio maana alipata nafasi ya kufanya kazi BOT na ambaye wengi hupenda kumwita Mr Clean, kutokana na uadilifu wake pamoja na uzalendo wake kwa Taifa letu.

Ameonyesha kusikitika na kusikitishwa sana na malalamiko ya watanzania mitandaoni yasiyo na msingi wala ukweli. Ametolea mfano kuwa anasikitika sana pale anapoona hata anapoposti picha ya mwanae na kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa, wanatokea watu wanasema "Ameshiba" Dola Zao.


Akasema kuwa, sijui wapi ambako mwanae anakutana na hizo Dola. Amewataka watanzania kuwa wazalendo kwa Taifa letu nakupenda vitu vinavyozalishwa na viwanda vyetu vya ndani.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Pia, Soma: Matokeo ya uchaguzi CCM chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara
Kwa hiyo ndo leo anashtuka kuwa makampuni ya nje ndo yanapewa mradi kww hongo kubwa tu
 
Back
Top Bottom